Hali imekuwa ngumu sana, naona mambo yanazidi kuwa magumu tu

themagnificient

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
988
3,318
Naona Hali ndio inazidi kuwa tete kila kukicha hasa awamu hii ,wanaokusifia ni wale wanaopata mkate ni lazima watetee matumbo yao ila kiuhalisia hali ni ngumu

Mafuta ambayo ndio mgongo wa uchumi wa nchi yamepanda bei sana now yanakaribia 3500 kwa lita jambo ambalo ni la Hatari

Garama za maisha kupanda, kila kona vitu vimepanda bei kwa kasi ya kutisha katika awamu hii

Bima ya Afya kuwa na hali ngumu hadi Baadhi ya madawa kuondolewa nay hii ni doa kubwa sana, kitendo cha NHIF kupatwa na misukosuko ni kielelezo kuwa hali ni tete

kubinafsishwa sekta muhim ambazo hazikustahili kubinafsishwa kwa waarabu nalo sio jambo jema kabisa litakuja kutucost huko mbeleni

Umeme wa kusua sua pamoja na maji

Kuweka tozo kila kona

Hayo yote ni mwananchi ndio anazidi kuumia ila Watu wanatoka bila aibu unaskia anatuvusha, jamani hamna aibu?
 
Kwa sasa kumeibuka kundi la machawa wakishashiba ndio wanaibuka kusifia sifia yani
Inchi ishakua ngumu sana hii, sasa najiuliza kwamba.....
Kwa haya yanayo endelea kwani mama hayaoni ama kuna watu wamemkinga kwa mbele ili asione mbali..???
 
Hakuna siku, nitakaa niamini eti nchi itapata kiongozi bora. Endapo CCM ipo madarakani. Jpm alikuja kufanya revolution ila wote tulishuhudia kilichompata.
Pamoja na kwamba sijawahi kuipenda sisiem, lakini kwa nchi ilipo fikia tulihitaji mtu kama John for some periods of time...
 
Usiionee huruma pesa ya serikali
●Ukipata nafasi ya kutolipa kodi fanya juu chini usilipe kodi
●Ukipata nafasi ya kupiga pesa au kuiba vifaa vya serikali piga na iba kadiri uwezavyo

NB: Cha muhimu usikamatwe
 
emoji117.png
kubinafsishwa sekta muhim ambazo hazikustahili kubinafsishwa kwa waarabu nalo sio jambo jema kabisa litakuja kutucost huko mbeleni
Ilitakiwa kubinafsishwa kwa kina nani?
 
Back
Top Bottom