Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 427
- 666
Mwandishi wa Habari wa BBC akionesha hali ilivyo katika Jiji la Dar es salaam leo Desemba 9, 2025, ikiwa ni maadhimisho ya miaka 64 kumbukumbu ya siku ya uhuru.
Ikumbukwe kufuatia madai ya kuwepo kwa maandamano, Serikali kupitia mamlaka zake ikiwemo Wizara ya Mambo ya ndani ilisema kuwa maandamano hayo hayakubaliki kwa kuwa yameshindwa kuzingatia misingi ya kisheria.
Pamoja na katazo hilo Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakati akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya uhuru kwaniaba ya Rais Samia Suluhu Hassan alitoa wito kwa watu wasiokuwa na dharura au ulazima wa kutoka wabakie majumbani mwao.
Pamoja na katazo hilo Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakati akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya uhuru kwaniaba ya Rais Samia Suluhu Hassan alitoa wito kwa watu wasiokuwa na dharura au ulazima wa kutoka wabakie majumbani mwao.