Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Hivi sasa baadhi ya viongozi na wanacha wa CCM wanatumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha umma kuwa ndani ya CCM hali ni shwari na hakuna mgogoro wala mpasuko kama inavyosemwa na baadhi ya watu na hata badhi ya vyombo vya habari ingawa matamshi ya viongozi wa chama hiki pamoja na yale ya baadhi ya wabunge wa hiki chama na watu wengine katika chama hiki yanaonyesha hali si shwari kama wanavyotaka tuamini.
Binafsi, naamini hali halisi ya mambo katika chama hiki tutaanza kuiona kupitia mahudhurio ya viongozi wastaafu katika sherehe au shughuli za kitaifa za kiserikali kama vile sherehe za Uhuru na zile Muungano au zile za kichama kama vile sherehe ya kuzaliwa kwa CCM,n.k.
Tuombe uzima tu kujua ukweli ni upi.
Binafsi, naamini hali halisi ya mambo katika chama hiki tutaanza kuiona kupitia mahudhurio ya viongozi wastaafu katika sherehe au shughuli za kitaifa za kiserikali kama vile sherehe za Uhuru na zile Muungano au zile za kichama kama vile sherehe ya kuzaliwa kwa CCM,n.k.
Tuombe uzima tu kujua ukweli ni upi.