Hakuna Wakenya wenye uwezo wa kuwekeza kwenye Madini yetu, Sema tu watatumika na viongozi

abdulhamis

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
1,436
2,292
Suala la Rais kusema anawakaribisha wawekezaji wakenya kwenye kuwekeza katika Madin yetu. Ili suala halipo maana Kenya sasa hivi wanalia njaa vibaya nchi ambayo haina mamilionea wa kutosha tena Tanzania tunawazid mbali.

Suala la wakenyakuja kuwekeza Tanzania hilo suala hamna ila tayari kuna viongozi watawatumia wakenya kuwa ni wawekezaji kutoka Kenya na kwenda kuuza Madini yetu Kenya. Wwote Tunakumbuka kipindi cha Kikwete, Kenya iliongoza kwa uuzaji wa madini Afrika Mashariki wakati ardhi yao ina milungi tu.

Itakavyokuwa kwenye Madini ni kama vile ilivyokuwa kwenye korosho, wote tunajua Biashara ya korosho alijimilikisha mtu mmoja hivi Mbunge wa huko wote mnamjua.
 
Mataga Roho Mbaya Namanga imezizima Arusha imezizima Holili imezizima Ololosokwani imezizima

Mama songa mbele Tupo PAMOJA
 
Ikiwa kama nchi tunapata kile kinachotakiwa kupatikana kwenye biashara na maslahi yetu yanalindwa, kuna haja ya kuhangaika kama wakenya wanapesa au wanatumiwa na viongozi wao?
 
Mataga Roho Mbaya Namanga imezizima Arusha imezizima Holili imezizima Ololosokwani imezizima

Mama songa mbele Tupo PAMOJA
EeenHee Bhwanah.
Naelewa sana unaposema sehemu hizo zinazizima

Hongera zenu mkuu!

Ngoja tumsubili Suluhu wetu, tumpambe kwa ushindi huu mkubwa aliotuletea!
 
Kwa akili yako unadhania kuwa hao wazungu waliowekeza nchini hizo pesa ni zao?inshu sio kuwa pesa ni za nani, je wewe huo uwekezaji unakupa faida yako unayoitaka kulingana na mikataba yenu?

Hiyo ya korosho hata kama alijimilikisha huyo unayemsema lakini wakulima si walikuwa wanapata pesa zao kwa muda na bei nzuri?

Kulinganisha na meko alivyokurupuka na kujiingiza kununua nini kilitokea?
 
Wewe Musiba na team yako ya Sukuma Gang mkubali tu yaishe! Magufuli kesha kufa na hatarudi milele,hivyo chuki zenu kwa Mama Samia hazitowasaidia kamwe!
 
Kina Vilaza wabobezi wanatuaibisha sana humu

Kenya wamegundua Oil huko Turkana kazi zikianza utawaona mbwiga kama huyu wamejazana huko Turkana ati wakisotea
Tena utawasikia wakimsifu Uhuru kwa kuruhusu Wabongo kufanya kazi bila Pamiti.
 
Back
Top Bottom