Hakuna wa kumtoa Mbowe madarakani ndani ya CHADEMA

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Igwe wanaJF

Kutokana na fukuto ndani ya Chadema tumeshuhidia minyukano mikali huku wengine wakimtaka Mbowe aondoke maadarakani eti kwa sabbabu hana jipya.

Ili kuweka kumbukumbu sawa nimeona ni bora niwaelimishe wafuasi wa Chadema kuwa ni ngumu kumuondoa Mbowe ikiwa ruzuku inaingia kwenye akaunti za Chadema yaani "palipo na hazina ya Chadema ndipo moyo wa mwenyekiti ulipo "

Nini kifanyike?
Kutokana na uwepo wa katiba mbovu yenye udikteta ya Chadema inayozuia mwanachama kuhoji au kupinga lolote mahakamani.

Uandaaliwe utaratibu wa kumshawishi Mbowe aachie uenyekiti lakini abaki kuwa mtia sahihi kwa makubaliano maalum na ikiwezekana asihojiwe kuhusu mapato na matumizi hadi 2020. Mbinu hii itatoa fursa kwa Chadema asili kushika hatamu na kukirudisha chama katika ajenda yake ya msingi "maslahi ya taifa na uzalendo " .

Lazima mkubali kuanza moja, kufanya kazi kwa kujitolea na michango ya wazalendo.
 
Wanaotaka Mbowe aachie uenyekiti ni CCM sijui mna washwa washwa na nini

Halafu wewe mshamba tuache msimu huu wa sikukuu tufurahi na familia zetu huku tukiwasikiliza maaskofu wacha Mungu(Shao,Kakobe)usituweke bize na vipost vyako uchwara
wewe ni ulipo tupo au Chadema asili?
 
Si kweli...bodi ikikaa pale Tengeru ikiamua wanamchomoa kama alivyochomolewa Sadam shimoni
Wajumbe wa Bodi unawafahamu? Mbowe ni Kota pin, aliingizwa Kwa nyundo na atatoka Kwa nyundo! Ukijaribu kuusogelea uenyekiti unasahaulika. Mwenyekiti ambaye ameisha washughulikia Makamo wake zaidi ya watatu lakini yeye bado yupo!
Ana mradi wake wa kukidai chama kila baada ya uchaguzi Mkuu, hatakndoka labda kusiwepo na uchaguzi Mkuu.
 
Wajumbe wa Bodi unawafahamu? Mbowe ni Kota pin, aliingizwa Kwa nyundo na atatoka Kwa nyundo! Ukijaribu kuusogelea uenyekiti unasahaulika. Mwenyekiti ambaye ameisha washughulikia Makamo wake zaidi ya watatu lakini yeye bado yupo!
Ana mradi wake wa kukidai chama kila baada ya uchaguzi Mkuu, hatakndoka labda kusiwepo na uchaguzi Mkuu.
Nashukuru ndugu Kimbunga kwa ufafanuzi wako mujarabu
 
Back
Top Bottom