Tetesi: Hakuna Urais wa viti maalum

Tetesi: Hakuna Urais wa viti maalum

MlimaSayuni

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
6,579
Reaction score
11,789
Ndugu Watanzania, Urais ni ngazi ya juu kabisa ya uongozi Tanzania, mtu anatakiwa kuishindania, lazima kujua ana maono na nia gani kwa Taifa, hakuna Urais wa viti Maalum, CCM wanatakiwa warudi kwenye Ground zero.

Aliyewahi kumsikia Samia anasema ana maono gani na Hili Taifa aweke hapa, hata michango yake ya Bungeni au hata alivyokuwa mjumbe wa Tume ya Katiba
 
Ndugu Watanzania, Urais ni ngazi ya juu kabisa ya uongozi Tanzania, mtu anatakiwa kuishindania, lazima kujua ana maono na nia gani kwa Taifa, hakuna Urais wa viti Maalum, CCM wanatakiwa warudi kwenye Ground zero.

Aliyewahi kumsikia Samia anasema ana maono gani na Hili Taifa aweke hapa, hata michango yake ya Bungeni au hata alivyokuwa mjumbe wa Tume ya Katiba
Hii ni mupya😁😁😁😁👍👍
 
Kwann ugawe pikipiki baiskeli ndyo ukubalike? ccm wekeni rais wa viti maalum.tunaangamiza nchi.hamushutuki nchi imeuzwa umepewa baiskeli unaimba mitano 5.nani ametuloga?hata sytem jeshi imelogwa
 
Ndugu Watanzania, Urais ni ngazi ya juu kabisa ya uongozi Tanzania, mtu anatakiwa kuishindania, lazima kujua ana maono na nia gani kwa Taifa, hakuna Urais wa viti Maalum, CCM wanatakiwa warudi kwenye Ground zero.

Aliyewahi kumsikia Samia anasema ana maono gani na Hili Taifa aweke hapa, hata michango yake ya Bungeni au hata alivyokuwa mjumbe wa Tume ya Katiba
Tumeona maono yake kwa hili Taifa kwa vitendo vyake. Maono yake tuliyoyaona ni kuuza maliasili zote muhimu za Tanganyika, huduma mbovu za umeme, maji, afya, elimu. Kuondoa elimu bure.

Kuongeza kodi, tozo, teuzi za hovyo, ku- promote ufisadi, wizi, utekaji, ulawiti, utesaji, kuondoa uwajibikaji, kufungia upinzani wowote, maoni yoyote tofauti popote Tanzania ndani na nje ya CCM.
 
Tumeona maono yake kwa hili Taifa kwa vitendo vyake. Maono yake tuliyoyaona ni kuuza maliasili zote muhimu za Tanganyika, huduma mbovu za umeme, maji, afya, elimu. Kuondoa elimu bure.

Kuongeza kodi, tozo, teuzi za hovyo, ku- promote ufisadi, wizi, utekaji, ulawiti, utesaji, kuondoa uwajibikaji, kufungia upinzani wowote, maoni yoyote tofauti popote Tanzania ndani na nje ya CCM.
🤣 🤣 🤣 🤣

Polepole anakwambia watu wa Corridor wanamsema akiwa hayupo
 
Nikimnukuu Jenerali ulimwengu anasema huko nyuma kuna watu walichulua form.za kuomba uraisi wakiulizwa una maono gani na what are you going to deliver wanajibu hawana plan wala maono bali mambo yatajipanga yenyewe akishakamata nafasi
 
Ndugu Watanzania, Urais ni ngazi ya juu kabisa ya uongozi Tanzania, mtu anatakiwa kuishindania, lazima kujua ana maono na nia gani kwa Taifa, hakuna Urais wa viti Maalum, CCM wanatakiwa warudi kwenye Ground zero.

Aliyewahi kumsikia Samia anasema ana maono gani na Hili Taifa aweke hapa, hata michango yake ya Bungeni au hata alivyokuwa mjumbe wa Tume ya Katiba
Huo ulianza lini na wapi?
 
Tunahitaji Rais mwenye CV ya kutosha na kujua mipango yake ya Nchi sio huyu wa kuongozwa na Maboss wake, pale anakuwa kama picha , afate mchakato tunataka Rais wa Nchi sio Rais wa kuletwa na Kikwete.
tukatae wahuni
 
Naunga hoja .. Hakuna uraisi wa vitu maalumu,,kwa unyenyekevu lazima uuombe ndani ya chama ,uzunguke utafute wadhamini inchi nzima ,kisha upite kwenye kamati hizo ,kisha halmashauri kuu ya chama taifa ikupitishe.. sio huu Uhuni wa kusema tumalize yote hapa bila kuchukua form. Democracy lazima ianzie ndani ya chama... Kwa hili chama kikibali kilikosea kirudi nyuma.
 
Back
Top Bottom