cheusimangala_
Senior Member
- Dec 1, 2018
- 114
- 174
Serikali imesema hakuna mgonjwa yeyote aliyethibitika kuwa na ugonjwa wa ebola hapa nchini, yawataka wananchi mikoa yote kuchukua tahadhari ugonjwa usiingie nchini
Serikali imesema hakuna mgonjwa yeyote aliyethibitika kuwa na ugonjwa wa ebola hapa nchini, yawataka wananchi mikoa yote kuchukua tahadhari ugonjwa usiingie nchini
View attachment 1207074
Mzazi wangu Mwalimu Ummy, wala huaminiki katu. Mswalie mtume wetu (SAS)! kama ulimfukuza Mwele ntuli malecela kwa vile alisema kuna sero positivity ya ebora virus antibodies among some Tanzanians, leo tutakuaminije Mwalimu?
Nashukuru! Ngoja nibadirishe, Thanks a lot!Haikuwa ebola ilikuwa zika virus. Tuweke record Sawa