Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
- Thread starter
- #21
Hakuna Lolote!!! hii nchi inaharibiwa kwa kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri kama hivi..tunaona wanandoa kibao wanafanya mambo ya aibu...Ndoa ni msalaba na sio kipimo cha akili au uwezo wa mtu kufikiri....kila mtu anaishi mara moja tu...its you who define your destiny...not living other's destiny.....Badili mtazamo.
Eiyer LIKE this. . . . . . . . . . . .