Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,410
- 271,878
Hivi ndivyo Raia wa Tanzania wanavyogeuzwa kama chapati za Buza kwa Mama Kibonge .
Noma sana !Duh
Ova
Nani kama MamaIla Tanzania tunapenda Majanga! Hapa shukrani zitaenda Kwa Mwenyekiti wa CCM
Mama wa Taifa hahahah labda Mama wa CCMNani kama Mama
Noma sana !Yaan watu wanajaribu jaribu tu ili waonekane wanafanya kazi 😅
Nilicheka sana majuzi hapa kuhusu VPN
Watu wanalihitaji sanaMungu atulinde lisije likaja kweli. Acha tusikie kwa wenzetu tu.
Wabongo wanaburuzwa kuliko hata Pawa tila linavyoburuza jembeEti kama chapati za mama kimbo, sorry mama kibonge huko buza kwa lulenge. Hahhaah
Endeleeni kusifu na kuabudu wanadamuNani kama Mama
Wacha weeeee !!!Ilikuwa ni majaribio ya UTAYARI , ilikuws ni KIMATAIFA mbona