KERO Hakuna Taasisi yenye huduma mbovu kwa wateja kama UTT AMIS

KERO Hakuna Taasisi yenye huduma mbovu kwa wateja kama UTT AMIS

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Congressman

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2020
Posts
814
Reaction score
2,419
Hawa jamaa ni very conservative, slow, backward and premitive institution.

Upande wa customer care ni wabovu na wameoza. Unaweza kuweka hela zako vizuri kabisa ila kuzitoa sasa utazungushwa kama deni. Najua hata humu JF wapo watakuja kujitetea ila uliza wateja wa UTT watakwambia.

Mfano hela zaman ilikuwa unatoa within 2 days ulikuwa unapata, sahivi hawa wapuuzi wanaweza kuchukua hata week. Kiukweli hamna taasisi hapa.

Simu hawapokei, ukienda ofisini kwao ndo matatizo
 
Huduma za serekali ya malawi ndivyo zilivyo.....

Nshawahi kwenda TRA nasubiria mumama amalize kuongea na simu ndio anihudumie, ile simu aliongea muda anauliza enhee kajifungua mtoto gani, lini....waooh kajifungua kawaida, hadi alimaliza ndio akanisikiliza🙌
 
Siitetei serikali ila hapa unawaonea,
Hakuna watu wamenyooka kama UTT, 😂 Ni wew na bangi zako, labda kama unataka kujaribu kuona reaction za watu ila kama ni kweli bas wew ndo shida
Jamaa lijinga sana,ana lengo la kuwachafua UTT..
 
Huduma za serekali ya malawi ndivyo zilivyo.....

Nshawahi kwenda TRA nasubiria mumama amalize kuongea na simu ndio anihudumie, ile simu aliongea muda anauliza enhee kajifungua mtoto gani, lini....waooh kajifungua kawaida, hadi alimaliza ndio akanisikiliza🙌
Ungenipigia simu
Tuje tumchafue huyo.
 
Mbona wadau wanapinga hapo juu,hebu leta ushahidi wa hili,wengine ambao hatujaweka tutaogopa sasa
 
Siitetei serikali ila hapa unawaonea,
Hakuna watu wamenyooka kama UTT, 😂 Ni wew na bangi zako, labda kama unataka kujaribu kuona reaction za watu ila kama ni kweli bas wew ndo shida

Mbona UTT hawana longolongo labda longolongo uwaletee wewe.. Mimi Nina mwaka nimejiunga UTT nawekeza na natoka hela na wala sijui hata ofisi yao moja zaidi ya kumaliza mambo yote online

hello nyie mmejiunga kwenye mfuko gani hapo UTT, nataka kutunza pesa ambayo nitakuja kuitoa baada ya miaka mi3 kutoka sasa.
 
Wewe chizi mimi nipo UTT mwaka wa 6 huu, fatilia posts zangu za nyuma utaelewa. Na sijawekeza laki sijui. So behave
 
Tatizo hamsomi terms and conditions kabla hamjajiunga na Watu.

Kuna mifuko wameandika, ukitaka kutoa itakuchukua 3 - 5 Working days.
 
Back
Top Bottom