Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Bado nusu saa!
simu ni original iliflashiwa halafu haina imei..,restore hiyo imei itafanya kaziKuna simu apa haina imei kabisa thou ni original coz ili flashiwa sijui itakuwaje apo[/QUOTE
Simu ikiwa na IMEI fake mwisho saa 5:59 usiku wa sasa
Simu ikiwa original au fake imechezewa IMEI ni kuzimwa tu hakuna namna
Nmekupatasimu ni original iliflashiwa halafu haina imei..,restore hiyo imei itafanya kazi
Kuflash simu hakuifanya kua fake. U fake wa simu ni masuala ya hardware zaidi kwa maana parts za simu ndio hazijafikia standard iliokusudiwa.ukiflash maana yake anatoa system yote ya simu inakuwa kama kopo kisha anakuwekea system nyingine ya kudownload.. so inakuwa fake
Inaonekana kaliwa sana na mafundi simHujui chochote kuhusu ku flash