Hakuna siku nimewahi kulewa kama l

Hakuna siku nimewahi kulewa kama l

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,397
Imagine tokea juzi nakula vyombo kuanzia asubuhi mchana jioni na usiku

Leo nimekunywa 17 tokea asubuhi

Uzuri nakula bia na nyamaa

Huku Moshi pamechafukaaa kila kona ni pombe na nyama tuuu

Jana pekee nilikunywa karibia kret nzima ya Bia

Hapo bado sijasemea hizi Konyagi na Valuu tunazomix hapo hujasemea mbege

Huku nimekuta pombe inaitwa Strong ndo kisungura cha huku ipo kama Smart Gin ni kali hiyo

Karibuni tulewe wanangu

Hapa naandika nipo chwiiii

Oyaa ni nomaa

Hii sikukuu huku Moshi ina laana kudadeki sio kwa Vibe hili.
 
Screenshot_20251111-181333~2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom