Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
AhsanteKoo=kwa iyo
AhsanteKoo=kwa iyo
Nisamehe bure dada najua nawapa shida kuunganisha sentenceAhsante
Na ndio maaana hawaishi kuchepukaTangia lini mapenzi yakawa kigezo cha watu kuamua kuoana hapa Afrika na hususani Tanzania yetu? Vigezo watu wanavyotumia kuamua kuoana hapa Tanzania ukihesabu 1-5 mapenzi haimo, ...
Mbona akili yako imekas BEVO kiasi hicho?Tangia lini mapenzi yakawa kigezo cha watu kuamua kuoana hapa Afrika na hususani Tanzania yetu? Vigezo watu wanavyotumia kuamua kuoana hapa Tanzania ukihesabu 1-5 mapenzi haimo, ...
Mbona akili yako imekas BEVO kiasi hicho?
Siku zote uko kinyume na kila lizaniwalo zuri kwako ni kinyume...uliwahi kuishi msituni?Sijaelewa unachomaanisha unaweza kufafanua kama ukipenda, ...
.Nikweli nimesha shuhudia kwenye ndoa za ndugu ni balaa, ndoa hizi nihatarii tupu ,Tena huko ndo bharaa ila ukiwacheki kwa nje unaeza ukahisi ndoa yao ina furaha ila reality unakuta mmoja analala sebleni yaani izo kelele zake hazivumiliki
Haaaaah anatutenga sioKwa wenye pesa niwatakie weekend njema ila kwa wale wezangu na Mimi niwatakie ijumaa,jumamosi na jumapili njema Mungu awatie nguvu
Duhh Mkuu hapa umeuaa
acha tuu mzee kupata mke ni bahati sana.Nikweli nimesha shuhudia kwenye ndoa za ndugu ni balaa, ndoa hizi nihatarii tupu ,
Mimi mwaka kesho natarajia kuvuta jiko aisee nione hii fainal ya ugenini.
bado sio suluhishoNdio maana huko Mara wanawafyeka viganja kwa mapanga maana wanakera hawa wadudu
Dah! Mungu anakuona mkuu😔Kwa wenye pesa niwatakie weekend njema ila kwa wale wezangu na Mimi niwatakie ijumaa,jumamosi na jumapili njema Mungu awatie nguvu