Hakuna Mweza Kama Wewe!

eRRy

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
1,125
204
http://www.youtube.com/watch?v=w1NbFFMuIic&feature=player_embedded#

Pengine wewe ni miongoni mwa watu wanaopitia majaribu magumu kiasi kwamba unatamani kujiua kutokana na kuona huna tena msaada baada ya kuhangaika huku na kule. Yawezekana umeenda kwa waganga wa kienyeji, umetafuta msaada kila kona hujafanikiwa,
Lakini wakati huu tukiwa tunaelekea kwenye sikukuu za X-Mass na Mwaka Mpya unaambiwa kuwa, matatizo unayopitia ukimkabidhi Jehova sasa hivi hutakuwa kama ulivyoamka asubuhi.
Nijambo gani lililogumu kiasi kwamba Mungu ashindwe kukusaidia? Hakuna! Sasa ili kusherehekea vizuri sikukuu hizi za X-Mass na Mwaka Mpya ungana na Mtumishi wa Mungu Kabula George katika wimbo wake wa HAKUNA MUWEZA.
Urudie mara nne kwa makini kisha liangalie tatizo lako kama litaendelea kukusumbua ukisha fahamu uweza wa Mungu, na hakika sikukuu yako itakuwa njema.​

Kwa wana JF Wooooooooooote, Nitakuwa very mean nisiposema:​
merry_christmas-1.jpg
 
http://www.youtube.com/watch?v=w1NbFFMuIic&feature=player_embedded#

Pengine wewe ni miongoni mwa watu wanaopitia majaribu magumu kiasi kwamba unatamani kujiua kutokana na kuona huna tena msaada baada ya kuhangaika huku na kule. Yawezekana umeenda kwa waganga wa kienyeji, umetafuta msaada kila kona hujafanikiwa,
Lakini wakati huu tukiwa tunaelekea kwenye sikukuu za X-Mass na Mwaka Mpya unaambiwa kuwa, matatizo unayopitia ukimkabidhi Jehova sasa hivi hutakuwa kama ulivyoamka asubuhi.
Nijambo gani lililogumu kiasi kwamba Mungu ashindwe kukusaidia? Hakuna! Sasa ili kusherehekea vizuri sikukuu hizi za X-Mass na Mwaka Mpya ungana na Mtumishi wa Mungu Kabula George katika wimbo wake wa HAKUNA MUWEZA.
Urudie mara nne kwa makini kisha liangalie tatizo lako kama litaendelea kukusumbua ukisha fahamu uweza wa Mungu, na hakika sikukuu yako itakuwa njema.

Kwa wana JF Wooooooooooote, Nitakuwa very mean nisiposema:
merry_christmas-1.jpg
Mathew 7:22 -23 7:22 Wengi wataniambia Siku ile ya hukumu: `Bwana, Bwana! kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi.`
Hapo nitawaambia: `Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.`

Swali, je sio Wakristo wanomwita Yesu bwana? sio Wakristo wanao toa pepo kwa jina la yesu? sio wakristo wanofanya mambo mazuri kwa jina la Yesu?
Baad ya yote hayo Yesu atawaambia "`Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.`
 
Sideeq,
Hujamwelewa na hutamwelewa Yesu. Alichomaanisha ni wale wanafiki wanaojiita Wakristo lakini matendo yao yanawasuta. Akina Kakobe ambao makanisani mwao wameficha paka weusi wa uchawi wa Kinigeria huku wakijidai kutangaza utukufu wa Yesu.
 
Sideeq,
Hujamwelewa na hutamwelewa Yesu. Alichomaanisha ni wale wanafiki wanaojiita Wakristo lakini matendo yao yanawasuta. Akina Kakobe ambao makanisani mwao wameficha paka weusi wa uchawi wa Kinigeria huku wakijidai kutangaza utukufu wa Yesu.


cha muhimu ndugu shika saaaaaaana ulichokipokea asije Mwovu akakitwaa
!
 
Back
Top Bottom