Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,032
mmmhWaache waendelee kukumbatia katiba mbovu, atakuja atakayewageukiwa wao ama vizazi vyao zaidi ya JPM. Chuki waliokuwa nayo dhidi ya JPM na maumivu waliopata itakuwa several times akija mwingine.
Busara ya kawaida itumike tupate katiba mpya.