Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,632
ANGALIZO........
Ukiona Mwanamke ni Mzuri Sanaaaa,
yaani SURA KALI....
SHEPU HILOOO...
MIGUU YA UKWELI..
AMESOMA VIZURI..
Yaani unahisi kama KAPENDELEWA KILA KITU
jua kuna kitu kimoja tu somewhere hakiko sawa...
HUWEZIPEWA VYOTE wanasema Wahenga...
Wengine Wazuri kinomaa kama amejiumba lakini INJINI rejeta inavuja,
Ukipiga utadhani Unafua Maturubai...
Mtera Si Mtera Ruvu Chini Si Ruvu..Balaa!
Mwinginea mzuri mpaka basi ila ana KIFAFA...Katikati ya mechi demu anazima unaanza kumpepea na The Guardian...
Wengine wazuri ila wana mashetani ukifika nae Room Maruhani yanapanda anakupiga LOBA, mpaka unahisi umeshikwa na Baunsa wa Billz...
Usione demu mkali anakuzungusha ukadhani hataki KULIWA...Wana siri nzito wanajua wakikupa ukajua UTAWATANGAZA...
Anakuzungusha kulinda CV isishuke...
Ukiona Mwanamke ni Mzuri Sanaaaa,
yaani SURA KALI....
SHEPU HILOOO...
MIGUU YA UKWELI..
AMESOMA VIZURI..
Yaani unahisi kama KAPENDELEWA KILA KITU
jua kuna kitu kimoja tu somewhere hakiko sawa...
HUWEZIPEWA VYOTE wanasema Wahenga...
Wengine Wazuri kinomaa kama amejiumba lakini INJINI rejeta inavuja,
Ukipiga utadhani Unafua Maturubai...
Mtera Si Mtera Ruvu Chini Si Ruvu..Balaa!
Mwinginea mzuri mpaka basi ila ana KIFAFA...Katikati ya mechi demu anazima unaanza kumpepea na The Guardian...
Wengine wazuri ila wana mashetani ukifika nae Room Maruhani yanapanda anakupiga LOBA, mpaka unahisi umeshikwa na Baunsa wa Billz...
Usione demu mkali anakuzungusha ukadhani hataki KULIWA...Wana siri nzito wanajua wakikupa ukajua UTAWATANGAZA...
Anakuzungusha kulinda CV isishuke...