Hakuna mwanamke ambaye si 'wife material'

Hakuna mwanamke ambaye si 'wife material'

Wanawake wa sasa bora wazungu waweke bidii kwenye kutengeneza matoy.
 
Mwanamke ukiamka asubuhi hutandiki kitanda, chakula kipo ndani bado huwezi kupika una dai jioni niku letee chips mvurugo, hata vumbi la kabati hulioni japo ulifute kuwe kusafi, bafu je tunayo ogea huwezi kuiosha ... Nguo achana nazo ntafua mwenyewe zisi kuchoshe hata zako bado una taka niku saidie kufua? Women bana! Vitu vidogo vidogo kama hivi huwa vina nifanya nimshushe mwanamke sana hata kama nilikua na plan nae nzuri za mbele .. hata kama ni mkali kiasi gani... siku fanyi punda ila huwezi hata kupika tukala pamoja ? Mpaka zije chips na msosi upo ndani? Afu una niambia kesho ni funge safari kupeleka posa eti wife material??? Kuna mambo yaku funzwa kwenu kabla huja fikiria kuolewa.... ukija kwa mume ata kufunza yaliyo salia madogo madogo... ya msingi uta yapata kwenu kwa wazazi wako.
 
Sifa ya mwanamke kuwa mke ni uke tu hayo mengine mbwembwe tu au yanasovika ndani ya safari
 
Huo ujenzi ndio wanaume wengi wasioutaka na pia nikwambie mkuu kuna baadhi ya sisi wanawake hatujengeki na hii mara nyingi inasababishwa na aina ya malezi tuliyopatiwa kuanzia chini.

Na ndio sababu kuna kausemi kanasema samaki mkunje angali mbichi. Ni wachache wenye uwezo wa kukunjuka pasi kuvunjika kwa kubadilishwa na mwanaume eti kisa anakutaka uwe hivi. Labda kama unavile vimapungufu vya kawaida hapo sawa vinabadilishika ila kuna mengine hayabadilishiki aisee.
Bila shaka wewe ni mhengwa sio kwa nasaha hizo!
 
Mkuu sio kila Mwanamke ni "Wife material" wapo wengine kama kunguru hawafugiki,huwezi kusema ni issue ya mtazamo wa mtu bali ni issue ya nidhamu katika mahusiano ya mapenzi,Wanaume hatuko Sawa lakini kuna mambo tunafanana hakuna mwanaume anaeyeweza kuishi na Mwanamke Malaya na jeuri hata kama huyo mwanaume ni teja wa bangi na madawa ya kulevya!
 
Leo nimemuona yule wife material wangu mungu ni mkuu ingawa hatukuongea
 
Mwanamke anakuwa wife material pale tu anapotaka na anpofurahia kuwa a wife to you.
 
Back
Top Bottom