hakuna muungano hakuna cuf bara

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,876
2,744
sijui kama mmeshawahi kuulitazama hili wadau. Visiwa (tena pemba) vinaibeba cuf huku kwetu. Nawashangaa jinsi wanavyopiga kelele hapo dodoma. Wajue uhalali wao huku kwetu umeshikiliwa na uzi wa buibui. Cuf waiache cdm iongee na iwe na kauli rasmi ya kipinzani kwani wao hawana hizo nguvu na mamlaka. Habari ndio hii, cuf
 
Back
Top Bottom