Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
sijui kama mmeshawahi kuulitazama hili wadau. Visiwa (tena pemba) vinaibeba cuf huku kwetu. Nawashangaa jinsi wanavyopiga kelele hapo dodoma. Wajue uhalali wao huku kwetu umeshikiliwa na uzi wa buibui. Cuf waiache cdm iongee na iwe na kauli rasmi ya kipinzani kwani wao hawana hizo nguvu na mamlaka. Habari ndio hii, cuf