Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Bongo unaona WAHALIFU wale pale wanapiga tukio, unapg simu polisi waje haraka, unaambiwa gari Haina mafuta, tuma Ela ya mafuta kwanza.
 
kwa Bageni,aliyeita press no Abdalah Zombe siyo Bageni
 
Kwa uwezo wa mungu atapatikana
 
Aahhh
Nakumbuka ile stori ulileta ya jamaa aliuliwa polepole na dawa ya macho
Halafu hakuna ushahidi
Wawekee link hapa wasome wenyewe kuwa you can get away with murder
 
Youtube kuna video wanaziita "fbi files" nazikubali sana aina hizi za video case mbalimbali zilivokua solved. Majinanya channel zingine yamenitoka
Kuna True crimes, Crime investigation, catching a Killer. Serial killers
Zipo nyingi sana na unajifunza mengi sana kwenye ulimwengu wa Crimes
 
Burudani ya serial killer huwa ni kuona jinsi gani polisi Wana hangaika kumtafuta.

Kinachowaponza serial killer wengi Huwa ni kulewa sifa, hapo ndo uwa wanakamtwa
Kwa kumbukumbu zako bongo tushawahi kua na serial killers mkuu?
 
Ni kweli Kila tukio huacha alama,

Ila zipo kesi kibao mpk leo zimekosa alama na hazijawa solved.

Marekani Wana utaratibu, kesi ikizidi miaka 100 haijasoviwa, Hilo faili wanafunga.
Ni kweli zipo crimes ambazo zimekuwa pasua kichwa kwa wapelelezi
Ila kuna moja nimeangalia juzi kesi ya mtoto wa kike alieuwawa mwaka 1964 akiwa na umri wa miaka 9
Kesi walishindwa wabobezi wa kila aina ila walishindwa
Baada ya miaka 57 kijana mwanafunzi mwenye umri wa miaka 18 ametatua hiyo kesi kwa kutumia Genetic genealogy

Very interesting hebu isome
 
Hii ni ajabu
 
Genetic geneology mzuri sana sema ubaya unakuta mara nyingi perpetrators wameshakufa, ni mara chache wanakuwa hai.

Nilikuwa nafuatilia real crime tv series ya case za UK, walikuwa wanatumia pia, ila kama 90% wahuska walikuwa washafarika.
 
Genetic geneology mzuri sana sema ubaya unakuta mara nyingi perpetrators wameshakufa, ni mara chache wanakuwa hai.

Nilikuwa nafuatilia real crime tv series ya case za UK, walikuwa wanatumia pia, ila kama 90% wahuska walikuwa washafarika.
Kweli kabisa hata huyo jamaa aliekabaka hako katoto alikufa akiwa na miaka 38 tu
 
Hii ni ajabu
Sana mkuu, ila wenzetu wanatumia resources nyingi na hela nyingi sana kwa kufuatilia mauwaji, na pia wanajali sana utu
Sisi fedha na utaalamu ndio duni
Imagine kuna wakati unasikia kuna mtu kapotea leo siku ya tano (ulaya) kesi wanaingia askari zaidi ya 100 kufanya upelelezi
Sisi sasa daa
 
Huku mtu akifa kama ndugu hawatafuatilia hakuna kitakachoendelea
 
Dah! Mwanangu umeua!πŸ‘‹πŸ‘‹
 
Hata wanaojaribu kutengeneza perfect murder wanaoshia kutengeneza perfect prosecution
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…