Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Muungano wa JMTZ ni copy & paste ya Muungano wa nchi ya Uingereza ambapo England ndo nchi kubwa, lkn huwezi kukuta hata siku moja mtu wa England akijishughulisha na mambo ya Scotland au sijui Ireland, watu wa huko Scotland ndiyo wanaohangaika kudai haki zao kutoka England, lkn hapa kwetu ni kinyume, watu wa Bara ambao ndio wengi na wanufaika wakubwa wa Muungano ndiyo walalamikaji wakuu wa mambo ya Zanzibar ambayo ina watu ~ milioni 1, ni ajabu Zanzibar inawauma na kuwasumbua kuliko Wazanzibari wenyewe. Tanzania bara watu > milioni 45 vs Zanzibar kama milioni 1.
Swali kwenu Watanzania Bara, hamna matatizo mengine zaidi ya Zanzibar?
Swali kwenu Watanzania Bara, hamna matatizo mengine zaidi ya Zanzibar?