The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Poleni sana ndugu zangu. Nyie ni watu wapole sana ,nidhamu yenu ni ya juu kabisa sijapata kuona.
Mmepewa jukumu la mhimu la kuandaa taifa huko shuleni. Taifa linawategemea . Kazi yenu ni nyeti mno na ya mhimu sana. Hii inatoka na ukweli kuwa taifa linaandaliwa shuleni ,siyo mitani,sokoni au kwenye baa.
Jambo la ajabu kabisa hivi sasa imeibuka tabia ya kudhalilisha walimu. Huwa sielewi kwa nini jamii yetu hata viongozi inamuona mwalimu kama kiumbe dhaifu asiyestahili heshima .Poleni sana walimu
Naomba niwatie moyo msikate tamaa . Taifa linawategemea . Kazi yenu ni ya mhimu sana kuliko wajinga wachache wanavyofikilia . Mungu anayaona mateso yenu na pia amekisikia kilio chenu. Tuendelee kuwafundiaha watoto wetu iko siku machozi yenu yatafutwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmepewa jukumu la mhimu la kuandaa taifa huko shuleni. Taifa linawategemea . Kazi yenu ni nyeti mno na ya mhimu sana. Hii inatoka na ukweli kuwa taifa linaandaliwa shuleni ,siyo mitani,sokoni au kwenye baa.
Jambo la ajabu kabisa hivi sasa imeibuka tabia ya kudhalilisha walimu. Huwa sielewi kwa nini jamii yetu hata viongozi inamuona mwalimu kama kiumbe dhaifu asiyestahili heshima .Poleni sana walimu
Naomba niwatie moyo msikate tamaa . Taifa linawategemea . Kazi yenu ni ya mhimu sana kuliko wajinga wachache wanavyofikilia . Mungu anayaona mateso yenu na pia amekisikia kilio chenu. Tuendelee kuwafundiaha watoto wetu iko siku machozi yenu yatafutwa.
Sent using Jamii Forums mobile app