Hakuna mtu anayetaka kufa, Cheki hii hapa

Hakuna mtu anayetaka kufa, Cheki hii hapa

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,766
Reaction score
4,046
Katika hali ya kawaida, mtu anapoamua kunywa sumu, kujinyonga au kutumia njia nyingine yeyote ya kujiondolea maisha, ukitokea njia nyine tofauti na hile aliyokuwa amekusudia kuondoa maisha yake, ni vigumu sana mtu huyo kukubali plan B.

Mfano: Kama aultaka kunywa sumu, ukamnyima sumu ukamwambie umpige risasi ili afe hata kubali.

Cheki hii picha hapa chini

1063195
 
Nakumbuka kipindi cha mizengwe, mbaba mmoja alikasirishwa na kijana wake akachukua kamba akajinyonge porini. Alipokuwa katika hatua za mwisho kujitunduka, akasikia simba akiunguruma, akaacha kamba akakimbia akipiga kilele.
Mwenzaka akaja na na bunduki ili kumwokoa, akaulizwa kulikoni, akasema alitaka kujinyonga ndo akasikia ngurumuo ya simba akakimbia.
Yule mwenzake akamwambia si inataka kufa? ngoja nikupige risasi, yule mbaba akaomba hasiuwawe kwa kupiga magoti.
 
Back
Top Bottom