Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
Kusema kweli katika stori stori na watu hauwezi kukosa mtu kukwambia kuhusu watoto wa pasta wanavyofanya mambo ya dunia (secular).
Kuwa mlevi, kuvuta bangi, kuzalia nyumbani, kuruka madebe, kuvaa vinguo vifupi, ubraza meni, etc , ni baadhi ya tambia utazikuta kwa watoto wa pasta kama vile utazikuta katika familia zisizokuwa za usimamizi wa kanisa.
Ni kwamba tu watu hawategemei mtoto wa mchungaji kuwa hivi ndio maana huwa wanashangaa kuona mmoja ya watoto wa pasta kuwa na tabia mbovu za kidunia wakati baba yake ni symbol ya wema na maadili
Watu wanashindwa kuelewa pasta ni pasta, mtoto ni mtoto, wanasahau kuwa majaribu ni ya kila mtu na lakini pia kuna wale fake pastors ambao wanaishi kifeki feki kupelekea kutoweza kufundisha maadili kwa watoto maana maadili sio asili yao.
TUOMBEANE. AMEN.
Kuwa mlevi, kuvuta bangi, kuzalia nyumbani, kuruka madebe, kuvaa vinguo vifupi, ubraza meni, etc , ni baadhi ya tambia utazikuta kwa watoto wa pasta kama vile utazikuta katika familia zisizokuwa za usimamizi wa kanisa.
Ni kwamba tu watu hawategemei mtoto wa mchungaji kuwa hivi ndio maana huwa wanashangaa kuona mmoja ya watoto wa pasta kuwa na tabia mbovu za kidunia wakati baba yake ni symbol ya wema na maadili
Watu wanashindwa kuelewa pasta ni pasta, mtoto ni mtoto, wanasahau kuwa majaribu ni ya kila mtu na lakini pia kuna wale fake pastors ambao wanaishi kifeki feki kupelekea kutoweza kufundisha maadili kwa watoto maana maadili sio asili yao.
TUOMBEANE. AMEN.