Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,229
HAKUNA MTU ANAEJALI MAISHA YAKO ZAIDI YAKO MWENYEWE ACHA KUJISHTUKIA
Kuna wakati ambapo tunajali sana kuhusu watu wengine wanavyojali kuhusu maisha yetu.Tunafikiri kwamba watu wengine wanatufuatailia kila tunachofanya na hivyo kuhofia watatuchukuliaje hasa kama tutashindwa.
Ukweli ni kwamba hakuna anayejali maisha yako zaidi yako mwenyewe. Hakuna ambaye anakosa usingizi akifikiria wewe unafanya nini.
Hata kama atakuona ukifanya na kukupinga au kukukatisha tamaa, dakika chache baadae atakuwa maeshasahau.
Hakuna anajali maisha yako zaidi yako wewe kwa sababu kila mtu ametingwa na maisha yake. Kila mtu anafikiria matatizo na changamoto anazokutana nazo kwenye maisha yake na hivyo hana muda mwingi wa kukufuatilia wewe kama unavyofikiri.
Fanya kile ambacho unaona ni sahihi kwako. Usiangalie au kufikiria wengine wanasemaje au watakufikiriaje, wao wenyewe wametingwa na maisha yao.
Kuna wakati ambapo tunajali sana kuhusu watu wengine wanavyojali kuhusu maisha yetu.Tunafikiri kwamba watu wengine wanatufuatailia kila tunachofanya na hivyo kuhofia watatuchukuliaje hasa kama tutashindwa.
Ukweli ni kwamba hakuna anayejali maisha yako zaidi yako mwenyewe. Hakuna ambaye anakosa usingizi akifikiria wewe unafanya nini.
Hata kama atakuona ukifanya na kukupinga au kukukatisha tamaa, dakika chache baadae atakuwa maeshasahau.
Hakuna anajali maisha yako zaidi yako wewe kwa sababu kila mtu ametingwa na maisha yake. Kila mtu anafikiria matatizo na changamoto anazokutana nazo kwenye maisha yake na hivyo hana muda mwingi wa kukufuatilia wewe kama unavyofikiri.
Fanya kile ambacho unaona ni sahihi kwako. Usiangalie au kufikiria wengine wanasemaje au watakufikiriaje, wao wenyewe wametingwa na maisha yao.