Mimi naitwa John Bumija,nasikitika kwa kumkosa mchumba kisa picha hazivutii,ndivyo nlivyoumbwa siwezi kujipiga rangi,nlizani mtanishauri kumbe ndo matusi,ntapeleka ombi langu kwa Mungu,mwanadamu hana msada
Picha zangu za facebook,me naona nimetoka afu madamex wananiponda,au nina nundu kichwani,Olevel nlisoma Boys,Punyeto sana na ni tamu,Advance nlipiga mixer ila msuli mkali ni mwondoko wa nyeto,na hapa mademu chuo wanataka kuprune booom tu,nataka demu me
potezea kaka hayo ni mawazo ya watu na binadamu hatulingani cha msingi jikubali mwenyewe na wasichana wapo wasiwasi wa nini mkubwa?soma kwanza watajileta wenyewe sawa kaka?chezea pesa wewe watamiminika kama bwawa la mtela....
Mi naona kuna msaada mwanangu Bamija. Hata hicho ulichopata ni nyenzo na msaada. Maana inaonekana mwanzoni hukumkumbuka Mungu. Naye aliamua kukupiga laana ukapata msaada usiogtegemewa kiasi cha kurejea kule kule. Taratibu utapata saizi yako maana duniani kuna saizi zote. Kama Remmy Ongala alioa inakuwaje wewe ukate tamaa hivyo?
Mimi naitwa John Bumija,nasikitika kwa kumkosa mchumba kisa picha hazivutii,ndivyo nlivyoumbwa siwezi kujipiga rangi,nlizani mtanishauri kumbe ndo matusi,ntapeleka ombi langu kwa Mungu,mwanadamu hana msada