imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Nionyeshe hilo bwawaUbishi Ndio asili ya upinzani nikuache km ulivyo
Nionyeshe hilo bwawaUbishi Ndio asili ya upinzani nikuache km ulivyo
Wakoloni wa Kireno katika miaka ya 1970s walisema kwamba Msumbiji haitapata uhuru katika miaka 500 ijayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionyeshe hilo bwawa
Hata kapicha basi tafadhali tuone hilo bwawaNenda rufiji
Hata kapicha basi tafadhali tuone hilo bwawa
Kwani kesi ya kangi inahusu nini? si ndo yale yale ya vyama tumbo? nyani haoni kundule, Meli ya Dar to Bagamoyo iko inasafirisha raia kama kawaida, makampuni ya meremeta, zile pesa za escro, miradi ya gesi ya mtwara iko wapi? miradi ya mchuchuma na riganga iko wapi? miradi ya magari ya mwendokasi iko wapi?. Mabasi ya wanafuzi wa Dar yako wapi?? nyie mmerogwa sio bure. mpaka ujitoe ufahamu ili kusifia ujinga.Chama cha kizalendo kabisa, hatuna chama kingine zaidi ya CCM
Chama kilichoasisiwa na wazee wetu waliokuwa wakweli, Wazalendo, wacha Mungu, ambao hawakuwa na tamaa ya mali
Wamekufa wameacha maono yao yanaishi hawa hawakuhitaji kufungua acount ya kuficha mapesa nje ya Nchi kama wanavyofanya Wapinzani wa sasa
Vyama vingi vinavyanzishwa ni ujasiriamali wa tumbo
Tena ikiwezekana serkali ivifute Kwani vinachelewesha kasi ya Maendeleo
Vimekuwa vikitumika na Mabeberu kuharibu Amani ya Nchi
CCM chini ya Rais wetu mpendwa Magufuli ndio inayotegemewa katika kuhakikisha Tanzania ipo salama
Utawala wa CCM ni ukoloni mamboleo wa Mtanzania kumtawala Mtanzania mwenzake tu.Mkuu hatongelei ukoloni tunaongelea Chama cha kizalendo Ccm
Kilichopo mioyoni mwa Watanzania
Labda ataandika historia nchi kuifanya kama zimbabwe kuwa na uchumi mfu.Nenda rufiji ukaone umeme mpya unavyojengwa
Magufuli ataandika historia kwa kuipaisha Tanzania kiuchumi
Wapinzani mmeishiwa hoja kabisa Mnaudhi sana kwa kweli
Utawala wa CCM ni ukoloni mamboleo wa Mtanzania kumtawala Mtanzania mwenzake tu.
Usipumbazwe na rangi ya walio katika utawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!! Ati stiglers mara Bwawa la Nyerere wakati kumejaa mbega na tumbiri wa aina mbalimbaliPicha ya nini wewe subiri umeme wa bure ujenzi ukikamilika
Kwaio mtanzania kumtawala mtanzania ni ukolon so uhuru ni mtanzania kutawaliwa na mtu asie mtanzania et bro si ndio unavyomaanisha ila kaa ukijua ccm ni bora kuliko chadema katika uongozi umeona halima mdee alivyo mnyina mkono mashinj kisa tu kahamia ccm huon ilo ni tatizo pia ni dalili mbaya kama kiongozi atakua yupo ivyo ni dalili ya udiktetaUtawala wa CCM ni ukoloni mamboleo wa Mtanzania kumtawala Mtanzania mwenzake tu.
Usipumbazwe na rangi ya walio katika utawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa mimi si comrade wako.Ni mtazamo wako tu comrade
Lakini nakuhakikishia Tanzania ni salama zaidi ya mara miamoja chini ya Ccm
Hiyo Amani uliyonayo kuna watu walijitolea maisha kuisimamisha Nchi yetu
Wapi nimeandika Mtanzania kumtawala Mtanzania ni ukoloni?Kwaio mtanzania kumtawala mtanzania ni ukolon so uhuru ni mtanzania kutawaliwa na mtu asie mtanzania et bro si ndio unavyomaanisha ila kaa ukijua ccm ni bora kuliko chadema katika uongozi umeona halima mdee alivyo mnyina mkono mashinj kisa tu kahamia ccm huon ilo ni tatizo pia ni dalili mbaya kama kiongozi atakua yupo ivyo ni dalili ya udikteta
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama cha kizalendo kabisa, hatuna chama kingine zaidi ya CCM
Chama kilichoasisiwa na wazee wetu waliokuwa wakweli, Wazalendo, wacha Mungu, ambao hawakuwa na tamaa ya mali
Wamekufa wameacha maono yao yanaishi hawa hawakuhitaji kufungua acount ya kuficha mapesa nje ya Nchi kama wanavyofanya Wapinzani wa sasa
Vyama vingi vinavyanzishwa ni ujasiriamali wa tumbo
Tena ikiwezekana serkali ivifute Kwani vinachelewesha kasi ya Maendeleo
Vimekuwa vikitumika na Mabeberu kuharibu Amani ya Nchi
CCM chini ya Rais wetu mpendwa Magufuli ndio inayotegemewa katika kuhakikisha Tanzania ipo salama
Bila TISS Na police? Ccm weupe tu? Unamkataza mnyika asifanye mikutano.wakati huohuo bashiru anafanya? Uoga huo. Weka bampa to bampa uone kama unatoboa.wewe unategemea polisi tu hakuna lolote hapo. Namalizia kuandika andiko langu nikuoneshe mlivyoiba kura mwanza 2015. Nitaweka hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app