Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,016
Chama cha kizalendo kabisa, hatuna chama kingine zaidi ya CCM
Chama kilichoasisiwa na wazee wetu waliokuwa wakweli, Wazalendo, wacha Mungu, ambao hawakuwa na tamaa ya mali
Wamekufa wameacha maono yao yanaishi hawa hawakuhitaji kufungua acount ya kuficha mapesa nje ya Nchi kama wanavyofanya Wapinzani wa sasa
Vyama vingi vinavyanzishwa ni ujasiriamali wa tumbo
Tena ikiwezekana serkali ivifute Kwani vinachelewesha kasi ya Maendeleo
Vimekuwa vikitumika na Mabeberu kuharibu Amani ya Nchi
CCM chini ya Rais wetu mpendwa Magufuli ndio inayotegemewa katika kuhakikisha Tanzania ipo salama
Chama kilichoasisiwa na wazee wetu waliokuwa wakweli, Wazalendo, wacha Mungu, ambao hawakuwa na tamaa ya mali
Wamekufa wameacha maono yao yanaishi hawa hawakuhitaji kufungua acount ya kuficha mapesa nje ya Nchi kama wanavyofanya Wapinzani wa sasa
Vyama vingi vinavyanzishwa ni ujasiriamali wa tumbo
Tena ikiwezekana serkali ivifute Kwani vinachelewesha kasi ya Maendeleo
Vimekuwa vikitumika na Mabeberu kuharibu Amani ya Nchi
CCM chini ya Rais wetu mpendwa Magufuli ndio inayotegemewa katika kuhakikisha Tanzania ipo salama