Ni kweli mkuu ila ukiwa naye mbali sana kiwango cha kuchapwa au kuchapiwa kikubwa sana.wa hapa hapa utajifarij unamchunga kumbe mpenzi hachungikisasa unawaambiaje wajeda wanaokwenda kongo na huku wameacha familia zao.....ila unaweza ukawa nae kila siku na watu wakakupigia humo humo.....kama we wakiume utanielewa asubuhi unapiga cha kuamkia mchana unachepuka na mwingine jioni uko na wife kimyaa mnacheki news huku unamuasa gonjwa la ukimwi linaua atulie
We vipi hivi hujui mnaweza kutenganishwa na vitu km shule,kazi,au hata safari?kwaiyo katika hali hiyo muachane utakua nao wangapi na magonjwa ya zinaa yatakuachajeUnakuwaje na mpenzi wa mbali kwanza.Huo Ni uzwazwa km uzwazwa mwingine
Ni kweli mkuu,inategemea na mtu ulienae! Ukicheche ni tabia ya mtu hata kama yupo karibu hashindwi kukusalitiMapenzi ya mbali yanaonekana kunoga sana kukiwa na uaminifu .Kwa sisi watu wa utalii unakaa porini kama serengeti au Ngorongoro kwa miezi kadhaa ukiwa unatafuta kipato na ukirudi nyumbani ni kama ndio umeoa jana . Simu nazo zinaongeza kukuza uhusiano wa mbali. Kama una kicheche utamegewa tu hata kama uko nae masaa ishirini na nne.