Hakuna mapenzi ya umbali

Aisee mnao bisha polen mtaishia kumaliza vocha tu kula wala wengine,mpaka uipate wewe ishatumika sana hiwe p au k
 
Mapenzi ya mbali yanaonekana kunoga sana kukiwa na uaminifu .Kwa sisi watu wa utalii unakaa porini kama serengeti au Ngorongoro kwa miezi kadhaa ukiwa unatafuta kipato na ukirudi nyumbani ni kama ndio umeoa jana . Simu nazo zinaongeza kukuza uhusiano wa mbali. Kama una kicheche utamegewa tu hata kama uko nae masaa ishirini na nne.
 
sasa unawaambiaje wajeda wanaokwenda kongo na huku wameacha familia zao.....ila unaweza ukawa nae kila siku na watu wakakupigia humo humo.....kama we wakiume utanielewa asubuhi unapiga cha kuamkia mchana unachepuka na mwingine jioni uko na wife kimyaa mnacheki news huku unamuasa gonjwa la ukimwi linaua atulie
 
mm kuna dada mmoja ni ofc mate wangu, nilikuwa napga mandingo kumbe anamshikaji wake yuko huko tanga, yule demu nikawa napga kama nimeoa vile, mnamo mwezi wa 9 mwaka jana akawa amenasa mimba yangu, mwezi huo huo mume wake akaja kumtembelea kwa hiyo tukasitisha kidogo. yule jamaa alikaa hapa kama wiki moja hivi harafu akang'oa kurudi zake tanga, jamaa alipofka nyumbani demu akamrushia msala kuwa anamimba yake, jamaa kwa kuwa anamwamini demu akaipokea tena kwa furaha sana, mwezi uliopta demu akaenda kujifungulia nyumban kwa mshikaji, bahat nzur mtoto ni wakiume na yule dada amenambia anafanana sana na mm, nasubiria amalize likizo yake ya uzazi mwezi ujao aje nimlee mwanangu.
 
sasa unawaambiaje wajeda wanaokwenda kongo na huku wameacha familia zao.....ila unaweza ukawa nae kila siku na watu wakakupigia humo humo.....kama we wakiume utanielewa asubuhi unapiga cha kuamkia mchana unachepuka na mwingine jioni uko na wife kimyaa mnacheki news huku unamuasa gonjwa la ukimwi linaua atulie
Ni kweli mkuu ila ukiwa naye mbali sana kiwango cha kuchapwa au kuchapiwa kikubwa sana.wa hapa hapa utajifarij unamchunga kumbe mpenzi hachungiki
 
Mapenzi ya mbali yanaonekana kunoga sana kukiwa na uaminifu .Kwa sisi watu wa utalii unakaa porini kama serengeti au Ngorongoro kwa miezi kadhaa ukiwa unatafuta kipato na ukirudi nyumbani ni kama ndio umeoa jana . Simu nazo zinaongeza kukuza uhusiano wa mbali. Kama una kicheche utamegewa tu hata kama uko nae masaa ishirini na nne.
Ni kweli mkuu,inategemea na mtu ulienae! Ukicheche ni tabia ya mtu hata kama yupo karibu hashindwi kukusaliti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom