niester
JF-Expert Member
- Jul 31, 2012
- 254
- 111
Hey guys? Wale wenzangu na mimi na mwenye mtazamo kama wangu nadhani mtakuwa na imani na matumaini kwamba, asilimia kubwa ya wanaume kwa wanawake ambao waliwekeza mioyo yao kwa wapenzi wao pamoja na matumaini makubwa kuwa siku moja wataishi pamoja kama mume na mke lakini haikutokea hivyo, watakubaliana na mimi kwamba wamevunjika moyo sana.
Katka mahusiano yangu ya nyuma especially yaliyovunjika mwaka 2011 December 12 saa 12 mchana baada ya kugundua na kuthibitisha kbs kwa 100% mchumba wangu kutokuwa mwaminifu na kuamua kumpiga chini, iliniuma sana na kunichanganya sna kwa kuwa niliwekeza sna kwake.kila binadam ana falsafa yake ya kuhandle manmbo mbali mbali na hata hawa viumbe, mimi yangu ni dem akicheat hata kama nampenda vipi namwacha coz hakuna umuhim wa kuendelea na mahusiano na mtu unayejua amekusaliti kwa sababu za kipuuzi. Kwa sasa nimepata ofa ya madem 3 wa kuzaa nao.
Kwa hali hii naona hakuna maana ya kuoa kwani napata kila kitu na nina dem mmoja pia anasema ananipenda na neshamwambia kwamba mimi sina mpango wa kuoa zaidi ya kuzaa tuu na wanawake. Don't judge ma philosophy kwa wanawake.
Hata yule tuliyeachana nae pamoja na kwamba kaolewa lkn anataka pia mtoto kutoka kwangu ona sasa hawa viumbe walivyo wa ajabu, na nilishamwambia siwezi kuzaa nae coz Keshaolewa but ananilazimisha sna kuonana nae. Now I do believe ule msemo kwamba hawa watu ni "kuishi nao kwa akili"(wanawake)
So,wale vijana wenzangu especially wanaume waliotendwa na kuumia zaidi kwa wapenzi wao njooni kwenye kundi la kuzaa tuu na madem na kutunza watoto kwani wanawake wapo wengi mno hata tukioa 5 @1 bado watabaki.
Katka mahusiano yangu ya nyuma especially yaliyovunjika mwaka 2011 December 12 saa 12 mchana baada ya kugundua na kuthibitisha kbs kwa 100% mchumba wangu kutokuwa mwaminifu na kuamua kumpiga chini, iliniuma sana na kunichanganya sna kwa kuwa niliwekeza sna kwake.kila binadam ana falsafa yake ya kuhandle manmbo mbali mbali na hata hawa viumbe, mimi yangu ni dem akicheat hata kama nampenda vipi namwacha coz hakuna umuhim wa kuendelea na mahusiano na mtu unayejua amekusaliti kwa sababu za kipuuzi. Kwa sasa nimepata ofa ya madem 3 wa kuzaa nao.
Kwa hali hii naona hakuna maana ya kuoa kwani napata kila kitu na nina dem mmoja pia anasema ananipenda na neshamwambia kwamba mimi sina mpango wa kuoa zaidi ya kuzaa tuu na wanawake. Don't judge ma philosophy kwa wanawake.
Hata yule tuliyeachana nae pamoja na kwamba kaolewa lkn anataka pia mtoto kutoka kwangu ona sasa hawa viumbe walivyo wa ajabu, na nilishamwambia siwezi kuzaa nae coz Keshaolewa but ananilazimisha sna kuonana nae. Now I do believe ule msemo kwamba hawa watu ni "kuishi nao kwa akili"(wanawake)
So,wale vijana wenzangu especially wanaume waliotendwa na kuumia zaidi kwa wapenzi wao njooni kwenye kundi la kuzaa tuu na madem na kutunza watoto kwani wanawake wapo wengi mno hata tukioa 5 @1 bado watabaki.
Last edited by a moderator: