Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 17(1)
17.-(1) Kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya
kwenda kokote katika Jamhuri ya Muungano na kuishi katika
sehemu yoyote, kutoka nje ya nchi na kuingia, na pia haki ya
kutoshurutishwa kuhama au kufukuzwa kutoka katika Jamhuri ya Muungano.
________________________________________________________
Tamko la Mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa Watanzania wote wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni hivi:-
"Itakua ni marufuku kwa Mtanzania asie na Kitambulisho cha Utaifa, kinacho onyesha uraia wake na mahali anapotokea, kuingia mkoani Dodoma mara baada ya zoezi hilo la utoaji vitambulishi kukamilika nchi nzima" Dk Binilith Mahenge
________________________________________________________
Hapa ndipo CCM MPYA INATUPELEKA, Ikumbukwe pia Nchini North Korea kwa Dogo Kim, ni marufuku kwa Mwananchi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine bila kua na passport maalumu na barua ya viongozi ya kuidhinisha safari hiyo.
17.-(1) Kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya
kwenda kokote katika Jamhuri ya Muungano na kuishi katika
sehemu yoyote, kutoka nje ya nchi na kuingia, na pia haki ya
kutoshurutishwa kuhama au kufukuzwa kutoka katika Jamhuri ya Muungano.
________________________________________________________
Tamko la Mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa Watanzania wote wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni hivi:-
"Itakua ni marufuku kwa Mtanzania asie na Kitambulisho cha Utaifa, kinacho onyesha uraia wake na mahali anapotokea, kuingia mkoani Dodoma mara baada ya zoezi hilo la utoaji vitambulishi kukamilika nchi nzima" Dk Binilith Mahenge
________________________________________________________
Hapa ndipo CCM MPYA INATUPELEKA, Ikumbukwe pia Nchini North Korea kwa Dogo Kim, ni marufuku kwa Mwananchi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine bila kua na passport maalumu na barua ya viongozi ya kuidhinisha safari hiyo.