Hakuna jipya kwenye mapenzi...

BAGAH

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
4,523
1,058
mada zinarudiwa rudiwa...visa vinafanana...visa vya kizushi zushi...uongo ambao hata kwa kupapasa tu unajua hamna kitu hapa!...kiufupi sioni jipya!


ombi langu:watu wenye mambo ya ukweli...na visa vya kujenga au hata kuburudisha wajipange watuletee humu na sio unafanya mapenzi na demu wako jana...ukiamka asubuhi unaweka kama post humu...mpsxxxx!
 
jamvini ni lakawaida ila mawazoni kwake ndio jipya..

afu mnajikutaga nyie ndio jeieeefu kiivyo...acheni shombo watoto wakike!...mkipewa visifa basi mikichwa hihaa!..mpe salam na mwenzio LIZZY...sio ishu!
 
Ilishasemwa sana. . .
Jifunze kupitia mada zilizopitwa kabla hujakurupuka, au uache na wenzio nao warudie zao kwa raha zao.

nishakusoma ww!...unachosema wewe ndio sahihi...unapenda sifa mtoto wa kike eeeh!..
 
Mkuu Bagah leo mbona jazba. Kumbuka ni Gud friday punguza hasira. Af'mida ya church ndo hyo..
 
tunakuja baada ya Easter..
sasa hivi hata nianzisha mada ni ngumu kufuatilia
so haina haja ya kuanzisha kitu na kuacha hewani..
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom