ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,265
- 4,453
Sina lengo la kumjibu Polepole wala sijaona hoja ya kumjibu.
Pia siungi mkono kinachoendelea CCM na wakati yeye anakula kodi zetu enzi za Magu alikuwa anatuambia"Unaijua Vieite wewe "
He is simply Schizophrenic.
Hakuna haja ya kuhangaika naye.Nafikiri CCM ni Chama kilichokomaa katika kiwango cha kuweza kufanya maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya nchi bila kuhitaji Pressure na mawazo ya watu kama Polepole
Nimemoliza ila kwa wale ambao wanapenda kufahamu zaidi basi fahamuni kwamba.Kinachosumbua nchi yetu sio CCM bali ni Ombwe la Uongozi.
Ombwe hili lipo ndani na nje ya CCM na kulipiga vitu lazima watu wengi zaidi wajiotokeze kugombea uongozi na wawe na hoja zenye NGUVU na SIO kusubiri wengine wagombee kisha waondoe Ombwe wakati Ombwe lina uweza wa wa kuwaingiza ndani,
POLE POLE apuuzwe.
Najua anaelewa kwa nini BARUA yake ya kwanza haijajibiwa na ya PILI akaamua kuiandika kwa UMMA.
Pia siungi mkono kinachoendelea CCM na wakati yeye anakula kodi zetu enzi za Magu alikuwa anatuambia"Unaijua Vieite wewe "
He is simply Schizophrenic.
Hakuna haja ya kuhangaika naye.Nafikiri CCM ni Chama kilichokomaa katika kiwango cha kuweza kufanya maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya nchi bila kuhitaji Pressure na mawazo ya watu kama Polepole
Nimemoliza ila kwa wale ambao wanapenda kufahamu zaidi basi fahamuni kwamba.Kinachosumbua nchi yetu sio CCM bali ni Ombwe la Uongozi.
Ombwe hili lipo ndani na nje ya CCM na kulipiga vitu lazima watu wengi zaidi wajiotokeze kugombea uongozi na wawe na hoja zenye NGUVU na SIO kusubiri wengine wagombee kisha waondoe Ombwe wakati Ombwe lina uweza wa wa kuwaingiza ndani,
POLE POLE apuuzwe.
Najua anaelewa kwa nini BARUA yake ya kwanza haijajibiwa na ya PILI akaamua kuiandika kwa UMMA.