Hakuna Guest bei rahisi Duniani kama Singida Guest

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Kati ya mambo yanayokera kwa msafiri katika safari zake ni hili tatizo la nyumba za kulala wageni hii huongeza gharama za msafiri lakini kwa Singida guest nzuri kabisa zilizo karibu na stendi ya mkoa yaani mita 30 tu kutoka stendi unapata guest kwa bei murua kabisa ya tsh 5000,ukiongea nao hadi mwisho ni 4500tsh!ombi kwa mikoa mingine kuiga mfano huu!message sent
 

Jamaa anasema na KUNGUNI wanakuhusu kwa bei hiyo mkuu
 
Walalaji wa guest kwa kusingizia usafiri utawajua tu anajua bei za guest za mikoa yote.


[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125]
 
Walalaji wa guest kwa kusingizia usafiri utawajua tu anajua bei za guest za mikoa yote.


[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125]
Haahaaa[emoji3] nitake radhi mkuu!
 
Walalaji wa guest kwa kusingizia usafiri utawajua tu anajua bei za guest za mikoa yote.


[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125]
[emoji14] [emoji14] [emoji28]
 
Gar linatoka Bukoba au Mwanza linafika Dodoma au Cairo saa5 au 6 usiku huku likitegemea kuanzia safar kesho yake asubuh SAA 11 au saa12

Hapo kuna masaa machache tuu ya kulala SASA MTU UNACHUKUAJE CHUMBA HAPO

Badala ya kupumzika bar ukiwa umesimama wima kaunta unashusha nyagi

Huwa nawasikitikiaga sana wanao chukua Chumba aiseee
 
Anayeishia Singida na yeye akakeshe bar!hiyo bei ya konyagi si bora ukalale upumzike!
 
Mods mnitake radhi jinsi mlivyoedit kichwa cha habari ilibaki kidogo niukane huu uzi sio wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yupi...
....anakuwa na hauweni, aliyelala kwa 5000/- au uliyesimama huku filter za bapa ya 10000/- zinamwaga acid kwenye glasi..?
 
Yupi...

....anakuwa na hauweni, aliyelala kwa 5000/- au uliyesimama huku filter za bapa ya 10000/- zinamwaga acid kwenye glasi..?
Sio guest zote huku tano,na pia Hapa waweza piga hata kasichana


Utalala kwenye gar likianza safar


Anafaida anae nyoosha miguu kaunta
 
Kweli bei ya lodge kwa mkoa wa Singida iko chini sana. Mwaka jana kuna moja nilifikia nililipa 15k na ilikua na kila kitu.
 
Kwenye guest ni kweli wamafanikiwa lakini kwenye chakula wasafiri tunateswa sana hapo Singida. Unakuta dereva anawepeleka kwenye vioteli vya ajabu vipo porini unakula chakula kama cha watoto wa shule halafu bei kubwa. Ninyi madereva wa magari yanayoenda kanda ya ziwa ninyi Mungu anawaona
 
Utakuwa umerudi na mifugo huko vipi damu umeweka rehani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…