Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,462
Habari zenu waungwana wa hili jukwaa,
Leo bwana nataka kushea na nyinyi kidogo haya nayoyafahamu,ukweli kuwa kwangu mimi naona hakuna furaha inazidi family,MKE,MUME,WATOTO,WAZAZI,NDUGU, wanaume wengi tumekuwa na tabia ya kutumia gharama kubwa na marafiki watu aina mbalimbali,wale walevi wanakesha bar mradi tu kutafuta ile kitu roho inapenda.
Lakini kwangu mimi sijaona furaha inayozidi family,hebu jaribu kubadili out zako za marafiki na watu wa nje chukua watoto wako mke au mzazi wako au family yako fanya nao out,halafu hebu rudi nyumbani nadhani siku hiyo utahisi kitu tofauti jaribu hili japo mara moja kwa mwezi naaminii utaona tofauti na utahisi furaha ya ajabu,
Kwangu mimi furaha yangu ni family yangu hakuna kingine
Leo bwana nataka kushea na nyinyi kidogo haya nayoyafahamu,ukweli kuwa kwangu mimi naona hakuna furaha inazidi family,MKE,MUME,WATOTO,WAZAZI,NDUGU, wanaume wengi tumekuwa na tabia ya kutumia gharama kubwa na marafiki watu aina mbalimbali,wale walevi wanakesha bar mradi tu kutafuta ile kitu roho inapenda.
Lakini kwangu mimi sijaona furaha inayozidi family,hebu jaribu kubadili out zako za marafiki na watu wa nje chukua watoto wako mke au mzazi wako au family yako fanya nao out,halafu hebu rudi nyumbani nadhani siku hiyo utahisi kitu tofauti jaribu hili japo mara moja kwa mwezi naaminii utaona tofauti na utahisi furaha ya ajabu,
Kwangu mimi furaha yangu ni family yangu hakuna kingine