Hakuna Dini inayoweza leta Amani

Hakuna Dini inayoweza leta Amani

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,313
Reaction score
26,716
HAYA MAMBO YA DINI BANA

Ili Gaza ijengwe upya inabidi watu wa Gaza wapalestina waondoke kwa muda waende nje ya nchi yao Ili wakirudi wakute Gaza imejengwa upya 😎

Rais wa Marekani Donald Trump kawaagiza Jordan na Misri wawachukue wapalestina wawa hifadhi kitu ambacho Jordan na Misri wamewakataa kata-kata kuwapokea watu wa Gaza ambao ni waislam wenzao😅

Nimebaki najiuliza kumbe waislam wanajijua ni wakorofi ndio maana wanashindwa kuhifadhiana 📶

1) Shia na Suni hawaelewani😅

2) Suni wenyewe kwa wenyewe hawaelewani (ndani ya Sunni Kuna Salafi na wahabi ,Hawa ni chui na paka )😅 ( kifo cha sheikh Ramadhan idd salafi wameshangilia sana,Tena wanaitana makafiri)

3) Waislam vs wahindu hawaelewani 😅

4) Waislam vs Baha'i hawaelewani 😅

5) Waislam vs wayahudi ni Shida😅

6) Waislam vs Sikh ni Shida tele 😅

7) Waislam vs Wakristo ni shida mbaya 😅

8) Waislam vs Buddha ni Shida tupu😅

KUNA MUDA unaweza wapongeza sana Waisrael kuweza kukaa jirani na wapalestina na wengine wapalestina kuishi ndani ya mipaka yao

Ni neema kubwa sana maana wao wenyewe hawapatani😅
Full mvurugano tu

Kila mmoja anahubiri Amani,

Huyu anahubiri hii dini ya Amani na haki.....lakini anaikimbia nchi yake
Ukimuuliza mbona haukai nchini kwako atakujibu hakuna Amani📶
mambo mtibuano📶

HII NDIO DINI YA HAKI📴❌❌

HAKUNA DINI inayoweza leta Amani

Amani itazaliwa endapo watu wote watavua mavazi yao ya utumwa wa DINI ambayo yanamfanya kila mmoja avutie ..

Basi upendo utaanzia hapo.

DINI NI UTAPELI, DINI NI PROJECT ZA WATU WACHACHE


DINI NI MFUMO WA PYRAMID,MAAMUMA WAPO CHINI ,WAKUBWA WAPO JUU WANAJUA PROJECT INAVYOENDA
 
Mungu angewachoma moto viongozi wa dini kwasababu wanasababishia mateso watu wasio na hatia hasa wenye uelewa mdogo

Nimesoma sehemu kuwa iran na israel walikuwa marafiki

Ila leo hii iran amepandikiza chuki mbaya sana kwa palestine dhidi ya israel

Naamini wapelestine wangeweza kuishi vizur tu israel km sio chuki za kidini
 
Sijui kwa nini mataifa ya kiislam wanawakataa waislam wenzao kwa hoja kuwa wana nchi yao waipambanie. Unafiki wa dini hiyo umeonekana. Mataifa yote wanachama wa OIC wangegawana hao wagaza kila taifa lingepata wachache kwa kugawana. ila kurudi wasahau, itakuwa imetoka hiyo
 
Mimi nahisi DINI ipo kwa ajili ya watu Wajinga... ( haiwezekani uabudu kitu ambacho hakionekani) 😐😐
Upumbavu wako tu, kama unashindwa kuiona kesho yako itakywaje utaweza kumuona Mungu?

Una wadadu kibao tumboni mwako na huwaoni, hawapo?

Mtoto anakaa tumboni miezi 9 humuoni na unaamini yupo

Kutoona maana yake ni udhaifu wa binadamu na hapo ndio UTUKUFU WA MUNGU UNADHIHIRIKA

ni jitu lijinga pumbavu ambalo linaamini gari imetengenezwa na watu ila complex body systems zimekuja zenyewe, seriously mtu atokee from no where?
 
Sijui kwa nini mataifa ya kiislam wanawakataa waislam wenzao kwa hoja kuwa wana nchi yao waipambanie. Unafiki wa dini hiyo umeonekana. Mataifa yote wanachama wa OIC wangegawana hao wagaza kila taifa lingepata wachache kwa kugawana. ila kurudi wasahau, itakuwa imetoka hiyo
Tatizo ni ujinga wenu kuamini nchi ya kiislamu ndio inafuata uislamu kikamilifu

Hao wamisri hata waislam wanaoenda kusoma huko wanawabagua

Uislamu hauna Shida ila wafuasi ndio wana vipengele
 
Hao wagaza walitakiwa hata wasipelekwe jordan na misri au nchi yoyote ya mashariki ya kati. Hao ni kuwapeleka mbali na israel kama congo mashariki, amerika ya kusini huko mexico, colombia, chile, paraguay, uruguay wakachanganyikane na jamii za huko wajue hata kucheza soka
 
Ili Gaza ijengwe upya inabidi watu wa Gaza wapalestina waondoke kwa muda waende nje ya nchi yao Ili wakirudi wakute Gaza imejengwa upya 😎

Rais wa Marekani Donald Trump kawaagiza Jordan na Misri wawachukue wapalestina wawa hifadhi kitu ambacho Jordan na Misri wamewakataa kata-kata kuwapokea watu wa Gaza ambao ni waislam wenzao😅
Samahani kama hutojali ningependa kujua miaka yako dogo ?
 
Hao wagaza walitakiwa hata wasipelekwe jordan na misri au nchi yoyote ya mashariki ya kati. Hao ni kuwapeleka mbali na israel kama congo mashariki, amerika ya kusini huko mexico, colombia, chile, paraguay, uruguay wakachanganyikane na jamii za huko wajue hata kucheza soka
Kwa nini wapelekwe nje ya Gaza ? Na wapelekwe na nani ? Na kwa sababu gani wapelekwe ?

Wewe leo hii hayo unayo wawazia wapalestina ungekuwa una waziwa wewe ungekubaliana nayo kiasi gani ?
 
HAYA MAMBO YA DINI BANA

Ili Gaza ijengwe upya inabidi watu wa Gaza wapalestina waondoke kwa muda waende nje ya nchi yao Ili wakirudi wakute Gaza imejengwa upya 😎

Rais wa Marekani Donald Trump kawaagiza Jordan na Misri wawachukue wapalestina wawa hifadhi kitu ambacho Jordan na Misri wamewakataa kata-kata kuwapokea watu wa Gaza ambao ni waislam wenzao😅

Nimebaki najiuliza kumbe waislam wanajijua ni wakorofi ndio maana wanashindwa kuhifadhiana 📶

1) Shia na Suni hawaelewani😅

2) Suni wenyewe kwa wenyewe hawaelewani (ndani ya Sunni Kuna Salafi na wahabi ,Hawa ni chui na paka )😅 ( kifo cha sheikh Ramadhan idd salafi wameshangilia sana,Tena wanaitana makafiri)

3) Waislam vs wahindu hawaelewani 😅

4) Waislam vs Baha'i hawaelewani 😅

5) Waislam vs wayahudi ni Shida😅

6) Waislam vs Sikh ni Shida tele 😅

7) Waislam vs Wakristo ni shida mbaya 😅

8) Waislam vs Buddha ni Shida tupu😅

KUNA MUDA unaweza wapongeza sana Waisrael kuweza kukaa jirani na wapalestina na wengine wapalestina kuishi ndani ya mipaka yao

Ni neema kubwa sana maana wao wenyewe hawapatani😅
Full mvurugano tu

Kila mmoja anahubiri Amani,

Huyu anahubiri hii dini ya Amani na haki.....lakini anaikimbia nchi yake
Ukimuuliza mbona haukai nchini kwako atakujibu hakuna Amani📶
mambo mtibuano📶

HII NDIO DINI YA HAKI📴❌❌

HAKUNA DINI inayoweza leta Amani

Amani itazaliwa endapo watu wote watavua mavazi yao ya utumwa wa DINI ambayo yanamfanya kila mmoja avutie ..

Basi upendo utaanzia hapo.

DINI NI UTAPELI, DINI NI PROJECT ZA WATU WACHACHE


DINI NI MFUMO WA PYRAMID,MAAMUMA WAPO CHINI ,WAKUBWA WAPO JUU WANAJUA PROJECT INAVYOENDA
Unajua maana ya dini? Hamna sehemu ambayo watu wanaishi bila dini

Hivyo Wanavyoishi ndio dini yao

Ukitaka kukosoa dini kosoa mfumo wa dini kwa maandishi ya vitabu sio rai za wafuasi

Wafuasi wa dini ni wadhaifu na Wana personal mistakes nyingi
 
HAYA MAMBO YA DINI BANA

Ili Gaza ijengwe upya inabidi watu wa Gaza wapalestina waondoke kwa muda waende nje ya nchi yao Ili wakirudi wakute Gaza imejengwa upya 😎

Rais wa Marekani Donald Trump kawaagiza Jordan na Misri wawachukue wapalestina wawa hifadhi kitu ambacho Jordan na Misri wamewakataa kata-kata kuwapokea watu wa Gaza ambao ni waislam wenzao😅

Nimebaki najiuliza kumbe waislam wanajijua ni wakorofi ndio maana wanashindwa kuhifadhiana 📶

1) Shia na Suni hawaelewani😅

2) Suni wenyewe kwa wenyewe hawaelewani (ndani ya Sunni Kuna Salafi na wahabi ,Hawa ni chui na paka )😅 ( kifo cha sheikh Ramadhan idd salafi wameshangilia sana,Tena wanaitana makafiri)

3) Waislam vs wahindu hawaelewani 😅

4) Waislam vs Baha'i hawaelewani 😅

5) Waislam vs wayahudi ni Shida😅

6) Waislam vs Sikh ni Shida tele 😅

7) Waislam vs Wakristo ni shida mbaya 😅

8) Waislam vs Buddha ni Shida tupu😅

KUNA MUDA unaweza wapongeza sana Waisrael kuweza kukaa jirani na wapalestina na wengine wapalestina kuishi ndani ya mipaka yao

Ni neema kubwa sana maana wao wenyewe hawapatani😅
Full mvurugano tu

Kila mmoja anahubiri Amani,

Huyu anahubiri hii dini ya Amani na haki.....lakini anaikimbia nchi yake
Ukimuuliza mbona haukai nchini kwako atakujibu hakuna Amani📶
mambo mtibuano📶

HII NDIO DINI YA HAKI📴❌❌

HAKUNA DINI inayoweza leta Amani

Amani itazaliwa endapo watu wote watavua mavazi yao ya utumwa wa DINI ambayo yanamfanya kila mmoja avutie ..

Basi upendo utaanzia hapo.

DINI NI UTAPELI, DINI NI PROJECT ZA WATU WACHACHE


DINI NI MFUMO WA PYRAMID,MAAMUMA WAPO CHINI ,WAKUBWA WAPO JUU WANAJUA PROJECT INAVYOENDA
Hamis uislamu ulikutendea nini kibaya wakati ulipokuwa muumini hadi kukuachia makovu makubwa ndani ya moyo wako mpaka leo ?
 
Tatizo ni ujinga wenu kuamini nchi ya kiislamu ndio inafuata uislamu kikamilifu

Hao wamisri hata waislam wanaoenda kusoma huko wanawabagua

Uislamu hauna Shida ila wafuasi ndio wana vipengele
ziache kujiita ni za kiislam kama hazifuati uislam, ulishawahi kusikia kuna nchi zinaitwa ni za kikristo na zima umoja wao wa kikristo?
 
Hamis uislamu ulikutendea nini kibaya wakati ulipokuwa muumini hadi kukuachia makovu makubwa ndani ya moyo wako mpaka leo ?
Kuna kitu kibaya au cha uongo nimesema hapo ?
 
Back
Top Bottom