jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi teule na nchi yenye kuonesha njia kwa Africa na Dunia katika nyanja zote.
Wapo maadui wengi dhidi yetu wenye mbinu mbalimbali lakini Tanzania ni babalao.
Haijawahi kushindwa na kamwe haitashindwa.
Tanzania imeshasimama. Tanzania ni wabishi, wababe na wapambanaji.
Tupo hivyo na tutaendelea kuwa hivyo.
Let us watch the big show!
If you plan an attack against Tanzania remember we had a counter attack way back in 59 years ago!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wapo maadui wengi dhidi yetu wenye mbinu mbalimbali lakini Tanzania ni babalao.
Haijawahi kushindwa na kamwe haitashindwa.
Tanzania imeshasimama. Tanzania ni wabishi, wababe na wapambanaji.
Tupo hivyo na tutaendelea kuwa hivyo.
Let us watch the big show!
If you plan an attack against Tanzania remember we had a counter attack way back in 59 years ago!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!