Hakuna askari aliyebeba Bunduki!

No strategies,no solutions. Yaani Maria na Mange hawana akili. Na leo ndo mwisho wa Chadema.
Mkuu ulikua kwenye kichwa changu kabisaaa naona RASMI CHADEMA inazikwa mwaka huu kwa mipango mibovu na ujinga wa kiharakati ukiemda kwa page za X za Hilda na Maria utagundua wameanza kupigwa spana

Maria anablok kila aliyetofauti nae kujifariji .... Hakuna hata mmoja aliekua akihamasisha saa moja asubuhi kajirekodi hata nje ya nyumba yake akioiga mswaki.. wote hawapo ngoja ilie risasi moja uone watakavyolipuka mitandaoni.
 
Acha mbwembwe kijana!
 
Let me tell you.Kwanza Chadema walitakiwa washiriki uchaguzi.Kwa sheria hizi hizi zilizopo ..Na kama wangeibiwa kura ndo sasa wangekinukisha na hapo wananchi wangewasupport kwa asilimia 100 maana hawampendi Samia.....sema Lissu na ukilaza wake eti akaja na no reforms no elections. Hata Raila aliwashauri washiriki uchaguzi. Chadema bye bye .Too sad nchi kukosa upinzani sababu ya watu wasioaanalyse concenquences za maamuzi yao.
 
Aisee wanaTarime mbona mko kimya? watu tunapigika na jua huku! akianani kama hamtatoka leo ndo itakuwa mara yangu ya mwisho kuandamana. yaani tangu saa 3 tuko hapa Turwa na wenzangu tunasubiria mjae road lakini mpaka saa hii mko kimya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…