Hakuna ambaye akifa ni sawa na mwingine

Hakuna ambaye akifa ni sawa na mwingine

Usifananishe impact ya hao na Tundu Lissu japo wote ni binadamu!

Mwanangu leo hajalala kisa Tundu Lissu.

Tusiandike mengi tuishie hapo.
What impact?? Kwamba yeye sio binadamu wa kawaida wengine wakifa sawa?? Hii mioyo ya unafiki Mungu aturehemu
 
Jiandae na mashambulizi Madam Mwajuma.....maisha bila unafiki hayaendi! Kuna watu wako perfect humu ili wewe uwe binadamu inabidi 'ukubaliane' na mitazamo yao, ukiwa tofauti wewe ni mjinga,mpumbavu etc...
Wanajishambulia wenyewe na ujinga wao, wanajifanya hawaoni mantiki ila mioyoni waiona.
 
Mtoa mada anazungumzia KUSHANGILIA wengine wakifa. Kuhuzuniuka inategemea ukaribu wako na huyo mtu. Tena ameweka mifano kule Kibiti, kuna watu wameshangilia sana humu walivyokuwa wanauawa polisi. Sasa kwasababu polisi huyu sio 'rais' ndio tuseme watu wana haki ya kushangilia vifo vyao?!

Mfano mwingine kuna wanachama wa CUF wamekufa kwa ajali siku chache zilizopita, kuna watu humu wameshangilia vifo hivyo hii ni sawa? Unaweza kuwa kiongozi mkubwa kwenye jamii ukafa mimi wala sihuzuniki kwasababu hunihusu ila SIWEZI KUSHANGILIA MITANDAONI hata siku moja.
Unajichosha na hao wameelewa sana moyoni ndio maana wanaropoka hahaha.
 
Watu wengi wana roho mbaya na unafiki sana, ubaguzi, hawaelewi kuwa kutofautiana kiitikadi sio uadui.

Wanadhani wanaoamini waaminicho wao ndio wana akili, wajanja na majembe ila wanaoamini tofauti na wao ni wakufa tu, wajinga na pengine hawana akili kabisa.

Kibiti kumetokea mauaji ya watu wengi sana ila baadhi ya watu tena humu ni wengi wanashangilia eti wafe waishe, ili hicho chama kife!!! Wengine ooohhh ndo wadhalimu!! Wamekufa viongozi wa CUF juzi watu haohao pia eti ni dhambi sijui nini wanaua cuf wafe tu.

Hivi hao sio binadamu wenzetu?? Kutofautiana na sisi kimtazamo ni sababu ya baadhi kushangilia vifo vyao?

Jana Mh. Mbunge kapigwa risasi baadhi ya watu wanashangilia kweliiii???

Lakini cha kushangaza zaidi wengi waliozodoa waliokufa kibiti na ajali ya CUF wanataka wote tuungane nao tumlilie Lissu??? Kwamba ndie mwenye moyo tu na kuliko wengine???

'Lets Pray for Lissu' Mungu amponye arejee kufanya kazi zake.
Jana nilipost uzi kama huu,ukafutwa sijui mod nao wanakuwaga na mawazo gani wakati mwingine hawaeleweki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naona leo Madam Mwajuma umeamua kuuma na kupuliza !mie akifa babu yangu hamtalia kwasabb hammfahamu !lakini siku akifa MAGUFULI mtalia !
 
Watu wengi wana roho mbaya na unafiki sana, ubaguzi, hawaelewi kuwa kutofautiana kiitikadi sio uadui.

Wanadhani wanaoamini waaminicho wao ndio wana akili, wajanja na majembe ila wanaoamini tofauti na wao ni wakufa tu, wajinga na pengine hawana akili kabisa.

Kibiti kumetokea mauaji ya watu wengi sana ila baadhi ya watu tena humu ni wengi wanashangilia eti wafe waishe, ili hicho chama kife!!! Wengine ooohhh ndo wadhalimu!! Wamekufa viongozi wa CUF juzi watu haohao pia eti ni dhambi sijui nini wanaua cuf wafe tu.

Hivi hao sio binadamu wenzetu?? Kutofautiana na sisi kimtazamo ni sababu ya baadhi kushangilia vifo vyao?

Jana Mh. Mbunge kapigwa risasi baadhi ya watu wanashangilia kweliiii???

Lakini cha kushangaza zaidi wengi waliozodoa waliokufa kibiti na ajali ya CUF wanataka wote tuungane nao tumlilie Lissu??? Kwamba ndie mwenye moyo tu na kuliko wengine???

'Lets Pray for Lissu' Mungu amponye arejee kufanya kazi zake.

KWANI umelazimishwa we bitch, ,,mlilie bi mkubwa wako aliefia corner bar
 
Back
Top Bottom