Queen V
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 776
- 1,330
Hakimu anayesikiliza kesi ya Abdul Nondo amegoma kujitoa, akisema kuwa kufanya hivyo ni kusababisha usumbufu kwa Mahakama itakayolazimika kumpanga Hakimu mwingine kwani malalamiko ya mshitakiwa na sababu alizozitoa kutaka hakimu huyo kujitoa hazina msingi.
Hii ni kufuatia Nondo kuwasilisha Mahakamani barua siku ya Jumatatu Mei 14, akitaka Hakimu Mpitanjia ajitoe kuendesha kesi hiyo kwa hoja 5.
Zaidi >> Abdul Nondo amkataa Hakimu anayesikiliza kesi yake Iringa
Hii ni kufuatia Nondo kuwasilisha Mahakamani barua siku ya Jumatatu Mei 14, akitaka Hakimu Mpitanjia ajitoe kuendesha kesi hiyo kwa hoja 5.
Zaidi >> Abdul Nondo amkataa Hakimu anayesikiliza kesi yake Iringa