Alisema ataongeza mishahara sio kwa kima Cha chini tu.... Watumishi wote... Akataja kiwango kwa kima Cha chini kuwa 23.3% wengine wangepata chini kulingana na madaraja Yao.. hivyo kama ilivyokuwa nyongeza nyingine wengine wangepata 23.2%,23.1%,23%,22.9%,22.8%,22.7%......... Hadi 5%,4.9%..... katika kumbukumbu zangu haijawahi kutokea ongezeko chini ya 6% katika historia niikumbukayo katika utumishi wa umma..... Ni haya maajabu ya mwaka huu !!!!!