Hakika tunaelekea kuuzika muziki wetu sisi wenyewe

Perfectz

JF-Expert Member
May 17, 2017
8,844
27,551
Chuki,wivu na kutokubali kushindwa kunaelekea kuliangamiza taifa hili kimuziki.Sasa kazi mbovu kabisa zinapewa promo kiasi cha kuharibu jina na muziki wa Tanzania.

Hivi sasa tumefikia hatua ya kuendekeza ushindani usiokuwa na tija katika muziki wetu wa Tanzania.Wenzetu wanafanya ushindani wa kuleta sifa na ubora wa muziki wao.

Sio timu za kushawishiana kusapoti kitu cha kawaida kabisa kukifanya kionekana bora.Ushahidi upo wa makundi ya whatsapp,facebook kuhusu jambo hili.

Tunayafanya haya na kusahau wasanii wengine wazuri kabisa ambao wangepewa sapoti hii tungefik mbali sana kimuziki.

Mfano kuna nyimbo nzuri sana zimetoka kwa sasa lakini watu hawazioni wanaendekeza TEAM UCHWARA.Inakera san asee.Hizi ni baadhi ya nyimbo hizi


1.Maua samma-Katukatu
2.Vanessa Mdee-Kisela
3.Fid Q-Ulimi mbili
4.Fid Q-Fresh
5.Rama D-Kwa akili yangu
6.Jux utaniua
7.Aslay-Mr Pusha
8.Bright-Ni wewe(tena huyu anapigwa sana radioni)
9.Christian Bella-Niende wapi ft joh makini
10.Aslay-Niwe nawe ft maromboso
11.Timbulo-Sina hali

Ziko nyingi wadau mnaweza ongezea kwenye koments.Hawa wote wana kazi bora zaidi hata ya hizo mnazopigia kelele mitandaoni kugeuza nyeusi iwe nyeupe....

Tukumbuke kuwa SOTE NI NDUGU na muziki ni wetu na burudani yetu sote.
Screenshot_2017-08-24-11-38-05-1.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr.Pasua Ndonga kaleta maafa makubwa kweli safari hii bora tu asingetoa nyimbo roho za watu zinusurike
By the way chuki na wivu huonwa na wenye chuki na wivu
 
Muziki wetu unaweza kufa kweli, nyimbo nzuri zimefunikwa Na upinzani wa hovyo

Kwa imani yangu Utaniua ya Jux ilikuwa inastahili kelele hizi ingawa na yeye kakopa melody na beat kutoka Kwa Angelique Kidjo kwenye ule wimbo Agolo
 
Chuki,wivu na kutokubali kushindwa kunaelekea kuliangamiza taifa hili kimuziki.Sasa kazi mbovu kabisa zinapewa promo kiasi cha kuharibu jina na muziki wa Tanzania.

Hivi sasa tumefikia hatua ya kuendekeza ushindani usiokuwa na tija katika muziki wetu wa Tanzania.Wenzetu wanafanya ushindani wa kuleta sifa na ubora wa muziki wao.

Sio timu za kushawishiana kusapoti kitu cha kawaida kabisa kukifanya kionekana bora.Ushahidi upo wa makundi ya whatsapp,facebook kuhusu jambo hili.

Tunayafanya haya na kusahau wasanii wengine wazuri kabisa ambao wangepewa sapoti hii tungefik mbali sana kimuziki.

Mfano kuna nyimbo nzuri sana zimetoka kwa sasa lakini watu hawazioni wanaendekeza TEAM UCHWARA.Inakera san asee.Hizi ni baadhi ya nyimbo hizi


1.Maua samma-Katukatu
2.Vanessa Mdee-Kisela
3.Fid Q-Ulimi mbili
4.Fid Q-Fresh
5.Rama D-Kwa akili yangu
6.Jux utaniua
7.Aslay-Mr Pusha
8.Bright-Ni wewe(tena huyu anapigwa sana radioni)
9.Christian Bella-Niende wapi ft joh makini
10.Aslay-Niwe nawe ft maromboso
11.Timbulo-Sina hali

Ziko nyingi wadau mnaweza ongezea kwenye koments.Hawa wote wana kazi bora zaidi hata ya hizo mnazopigia kelele mitandaoni kugeuza nyeusi iwe nyeupe....

Tukumbuke kuwa SOTE NI NDUGU na muziki ni wetu na burudani yetu sote.View attachment 576464

Sent using Jamii Forums mobile app
We sikiliza hiyo list..
Sisi tupo na Mr Pasua kichwa...

Hizo unazoziita team hata huko mbele zimejaa na maisha yanaendelea..
 
Sijajua kwanini watu wanatokwa sana mapovu wakati muziki wa sasa ni wa kiki na ndiyo tulivyozoea na ndiyo maana hata kama huna kipaji sio ishu,ila nashangaa leo watu wanatokwa mapovu kwa Kiba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom