mkuu ulichoongea ni sahihi kabisa, hapa tulipo tutakuwa tunadanganyana kuwa magu na ccm atatufikisha tutakapo kusahau nguvu ya ukawa. huu ni ukweli.
japokuwa wana ccm na chadema hawawezi kubali kutokana na ushindani wa kisiasa
mheshimiwa namuombea awe na busara zaidi ya hivi vyama, atafute njia ya kuwaunganisha watanzania.
atakaebisha abishe mi naamini hivo, akishindwa fanya hivo bas atatoka madarakani kama wengine haachi legacy yoyote ambayo inamashiko kitaifa.
wananchi hawakukumbuki kwa madawati wala misaada ya nguo na chakula bali kwa kuwavusha kutoka stage flan na kwenda staji nyingine.
mungu bariki africa