Hakika hoja za kisiasa zimekwisha yamebaki haya

Jul 10, 2017
22
33
Ndugu wana JF,
Siasa za nchi hii kwa sasa zimekosa mashiko kutokana na utendaji wa serikali ya awamu hii.
Haya ni maswali najiuliza na ningependa kushare nanyi:
  • Lini katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE tulitangaziwa na serikali kwamba inaenda kukopa zaidi ya kusikia kwenye BUNGE LA BAJETI deni la serikali limeongezeka ama limepungua?
  • Lini katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE serikali ilitangaza kwa wananchi juu ya kushikwa kwa mali zake nje ya nchi?
  • Katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE serikali imeshakuwa na kesi ngapi na je zilikuwa agenda za kitaifa?
  • Katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE hakukuwa na matukio ya watu kushambuliwa, kutekwa na kupotea?
Kwa mtazamo wangu duni kinachoendelea sasa hivi ni wanasiasa kukosa agenda na badala yake kufanya kazi ya kutafuta watumishi wa serikali ili kupewa siri za utendaji wa serikali kwa lengo la kuzifanya agenda mbadala baada ya agenda za siasa kutokuwepo.

HITIMISHO
TUCHAPE KAZI TUACHE KUANGAIKA NA WATENDAJI WA SERIKALI WANAOSHIRIKIANA NA WANASIASA WALIOKOSA HOJA ZA KISIASA
 
No wonder Tanzania ni nchi ambayo watu wake HAWANA FURAHA.

Naimani takwimu za mwakani tutakuwa tunashika mkia.

Wanasiasa hoja zimewaishia kwa sababu Mh Rais anatekeleza ilani ya CCM kwa kufanya yale yaliyokuwa yanayapigia kelele miaka yote na wapinzani haohao.

Wanahofia hatima yao wakitafakari mustakabali wa vyama vyao uchwara kwenye uchaguzi ujao 2020.

Wanapokosea zaidi na kujiaibisha ni pale wanapoleta udaku kwenye mambo mazito ya nchi na mwisho wa siku udaku(uongo)huo unayeyuka na kufutika ndani ya muda mfupi.

Kwa haya yanayoendelea nchini hakuna jipya hata moja....... sema tofauti ya sasa na ya zamani ni aina ya wanasiasa na uendeshaji wa siasa unavyofanya ambapo sasa inapelekea kumfanya kila mtu ajione mjuaje.

Asante sana George Ndamanya(akili kubwa) kwa uuelewesha umma wa watanzania na hasa itawasaidia wale wenye akili ndogo.

Na mimi nahitimisha kwa kunukuu hitimisho lako
TUCHAPE KAZI TUACHE KUANGAIKA NA WATENDAJI WA SERIKALI WANAOSHIRIKIANA NA WANASIASA WALIOKOSA HOJA ZA KISIASA
 
Et wao kwa wao wana ugovi ndan ya chama ndo rais hasomeki clearly

Issue ya ma_dini sio lelemama wala lelebaba
 
No wonder Tanzania ni nchi ambayo watu wake HAWANA FURAHA.

Naimani takwimu za mwakani tutakuwa tunashika mkia.

Wanasiasa hoja zimewaishia kwa sababu Mh Rais anatekeleza ilani ya CCM kwa kufanya yale yaliyokuwa yanayapigia kelele miaka yote na wapinzani haohao.

Wanahofia hatima yao wakitafakari mustakabali wa vyama vyao uchwara kwenye uchaguzi ujao 2020.

Wanapokosea zaidi na kujiaibisha ni pale wanapoleta udaku kwenye mambo mazito ya nchi na mwisho wa siku udaku(uongo)huo unayeyuka na kufutika ndani ya muda mfupi.

Kwa haya yanayoendelea nchini hakuna jipya hata moja....... sema tofauti ya sasa na ya zamani ni aina ya wanasiasa na uendeshaji wa siasa unavyofanya ambapo sasa inapelekea kumfanya kila mtu ajione mjuaje.

Asante sana George Ndamanya(akili kubwa) kwa uuelewesha umma wa watanzania na hasa itawasaidia wale wenye akili ndogo.

Na mimi nahitimisha kwa kunukuu hitimisho lako
TUCHAPE KAZI TUACHE KUANGAIKA NA WATENDAJI WA SERIKALI WANAOSHIRIKIANA NA WANASIASA WALIOKOSA HOJA ZA KISIASA
Andiko linaakisi taarifa za hivi karibuni kwamba katika kipindi cha mwaka mmoja tu kumekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa akili hapa nchini, kutoka watu laki sita hadi laki saba!
 
Ndugu wana JF,
Siasa za nchi hii kwa sasa zimekosa mashiko kutokana na utendaji wa serikali ya awamu hii.
Haya ni maswali najiuliza na ningependa kushare nanyi:
  • Lini katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE tulitangaziwa na serikali kwamba inaenda kukopa zaidi ya kusikia kwenye BUNGE LA BAJETI deni la serikali limeongezeka ama limepungua?
  • Lini katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE serikali ilitangaza kwa wananchi juu ya kushikwa kwa mali zake nje ya nchi?
  • Katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE serikali imeshakuwa na kesi ngapi na je zilikuwa agenda za kitaifa?
  • Katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE hakukuwa na matukio ya watu kushambuliwa, kutekwa na kupotea?
Kwa mtazamo wangu duni kinachoendelea sasa hivi ni wanasiasa kukosa agenda na badala yake kufanya kazi ya kutafuta watumishi wa serikali ili kupewa siri za utendaji wa serikali kwa lengo la kuzifanya agenda mbadala baada ya agenda za siasa kutokuwepo.

HITIMISHO
TUCHAPE KAZI TUACHE KUANGAIKA NA WATENDAJI WA SERIKALI WANAOSHIRIKIANA NA WANASIASA WALIOKOSA HOJA ZA KISIASA
Tunaongozwa na awamu zilizopita au katiba inayotupa haki ya kuzungumza?
 
Saiv zmebaki Sera za KuviziaVizia(Kunyampianyampia).Wapinzani wa Tz kilichobakia ni kuendekeza U-Qwissa na U-Soudy brown tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom