Haki za mahouse girl zilindwe

Haki za mahouse girl zilindwe

mbasa ya konge

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2015
Posts
240
Reaction score
599
Wanabodi ni ukweli usiopingika wasaidizi wetu wa kazi (mahouse girl ) Wamekuwa wakipitia changamoto au matatizo mbalimbali wakiwa kwenye majumba yetu. Baadhi wanapitia unyanyasajwi wa kigono, vipigo vya mara kwa mara, kujeruhiwa na kufanyiwa mambo mbali mbali ambayo yapo kinyume na ubidamu.

Aidha, wafanyakazi hawa mara nyingi hawapati mda wa kupumzika kwa siku mara nyingi wanafanya kazi Hadi usiku wa manane kazi za mabosi wao kama vile kumbembeleza mtoto Hadi alale, kumtengea Chakula bosi na kumfungulia mlango kwa wale mabosi walevi wanaochelewa kurudi nyumbani.

Serikali inapaswa itunge Sheria ambazo zitawalinda hawa wasaidizi wa ndani pamoja nakupewa posho nzuri, kupewa ukomo wa kazi kama ilivyo kwa watumishi wengine ambayo ni masaa 8 na kuingizwa kwenye mifuko ya kijamii kama PSSSF, NSSF
 
Wanabodi ni ukweli usiopingika wasaidizi wetu wa kazi (mahouse girl ) Wamekuwa wakipitia changamoto au matatizo mbalimbali wakiwa kwenye majumba yetu. Baadhi wanapitia unyanyasajwi wa kigono, vipigo vya mara kwa mara, kujeruhiwa na kufanyiwa mambo mbali mbali ambayo yapo kinyume na ubidamu.

Aidha, wafanyakazi hawa mara nyingi hawapati mda wa kupumzika kwa siku mara nyingi wanafanya kazi Hadi usiku wa manane kazi za mabosi wao kama vile kumbembeleza mtoto Hadi alale, kumtengea Chakula bosi na kumfungulia mlango kwa wale mabosi walevi wanaochelewa kurudi nyumbani.

Serikali inapaswa itunge Sheria ambazo zitawalinda hawa wasaidizi wa ndani pamoja nakupewa posho nzuri, kupewa ukomo wa kazi kama ilivyo kwa watumishi wengine ambayo ni masaa 8 na kuingizwa kwenye mifuko ya kijamii kama PSSSF, NSSF
Serikali ilitakiwa ipige maruguku watoto kufanya hizo kazi, unakuta dada wa kazi ana miaka 12, 13 angalau waanzie miaka 18
 
Serikali inapaswa itunge Sheria ambazo zitawalinda hawa wasaidizi wa ndani pamoja nakupewa posho nzuri, kupewa ukomo wa kazi kama ilivyo kwa watumishi wengine ambayo ni masaa 8 na kuingizwa kwenye mifuko ya kijamii kama PSSSF, NSSF
Kama wahitimu wa vyuo wanagalagazwa mikononi mwa Wachina, Wahindi, Waarabu, nk, kwa kutopewa mikataba ya ajira, kulipwa ujira wa 150k/mwezi na hakuna mtetezi, itakuwa hao wa ndani?
 
Unamkumbuka Mahita? Alimzalisha HG halafu akakataa kuhudumia
Kuhusu Yakobo na wajakazi wa Rahel na kisha wa Leah..

Ndo biblia ikasema usitamani hata mjakazi wa jirani yako.. nyongeza yangu.. maana anaweza akawa ni kiburudisho chake..
 
Nyie hayajawakuta imagine mtu anaamka tu asubuhi anasema anataka kuondoka hapo na ww unataka kwenda kazin na kuna mtoto mdogo aloooooo
 
Back
Top Bottom