mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,403
Na hisi siku ile Makonda alikuwa kanywa viroba! Ningekuwa ni mimi ningemjibu tu aisee kwamba kichaa mwenyewe
si mpaka ithibitike?umekuwa mahakama?Na yeye kwa kutokuwajibika kwake achukuliwe hatua gani huyo Afisa ardhi
I Hope Makonda aliteleza tu katika kuongea
Angalau wanasiasa wakiumbuana sio mbaya wanaweza kukaa kwenye kadamnasi ila watendaji ni kuwaonea na pia si busara kumbebesha mtu mmoja uozo wa kitengo cha ardhiMbona weng wameshtushwa kwa huyu tu wakat weng wamedhalilishwa na huyu Makond..mu kwenye hii program?
Huwezi kuona kazi zao kwa sababu serikali imewanyima makucha, kuwafumba midomo na kutumia ubabe dhidi yao. Haiwapi nafasi kujipambanua na kuonesha kazi zao kwa sababu wakiwapa nafasi, hakuna atakayeonekana mwema kuanzia mkuu wa kaya. So ni lazima waminywe tu, hakuna namna.Sorry niwe mkweli haki za binadamu kwa Tanzania sijawahi uona umuhimu wao kabisa na wala shughuli zao hazijulikani sana na jamii, sijui labda ni mtazamo wangu tu.
Haki za binadamu watasema kama wewe Mwananchi ungetukanwa na kudhalilishwa, kutolewa utu wako mbele ya kadamnasi kwa kisingizio chochote, iwe rushwa nk. Ndiyo maana kuna mahakama.mbona watumishi tusipotekeleza majukumu yetu haki za bidamu hawasimami?? au wananchi wanaotumikia hawana haki za kibinadamu kama Wao???
Ni sawa kutokujua,hawa ni waangaliaji wa mwenendo wa sheria na haki za binadamu na huandika report na kuwapa nakala serikali.Hii husaidia kuona mwenendo wa nchi kwa mujibu wa sheria zilizopo.Ni vigumu sana kwa mwananchi wa kawaida kama wewe kujua mpaka uwe mfatiliaji.Hii ni taasisi huru isiyo ya kiserikali,tunaweza kufananisha na waangalizi wa uchaguzi.Raia wanaweza wasijue umuhimu wao na kazi zao kwasababu hawana direct involvement na jamii.Wao ni observers tu!Sorry niwe mkweli haki za binadamu kwa Tanzania sijawahi uona umuhimu wao kabisa na wala shughuli zao hazijulikani sana na jamii, sijui labda ni mtazamo wangu tu.
Aliteleza? Unamjua Makonda wewe kiherehere?Na yeye kwa kutokuwajibika kwake achukuliwe hatua gani huyo Afisa ardhi
I Hope Makonda aliteleza tu katika kuongea
Kumwita mwenzio kichaa dahh, inauma aisee.Maskini yule dada wa ardhi!! Ila Hongera zake alikuwa Jasiri na Hakuogopa Hadhira hata baada ya udhalilishaji wote!!
Baka mwanafunzi ndo utaona Hawa jamaa wakojeSorry niwe mkweli haki za binadamu kwa Tanzania sijawahi uona umuhimu wao kabisa na wala shughuli zao hazijulikani sana na jamii, sijui labda ni mtazamo wangu tu.
Unamsifia kwa kumuita mtumishi kichaa...! Au kwa kujiita yeye mungu..!?Kwa upande wangu sijaona kosa la mheshimiwa makonda acha awanyooshe walizoea sana hata ilikuwa ukifika ktka ofisi zao wanakuangalia kama kinyago kwa sasa hayo mambo acha yakomeshwe. Makonda oyeeeeeee
Walioko hapa wanajitambua hawahudhurii hiyo mikutano ndugu!! Ila a funny thing wanasiasa wengi huwa hawapendi live coverage ila huyu rc ni nini kimemloga? Au ndio sifa kupitiliza?Watanzania ni watu wanafiki sana mbona Makonda wakati ana mfokea yule mama watu mlikua mnashangilia iweje mje hapa kulalamika.
Hakuwajibika vipi wakati hakupewa nafasi ya kuongeza!Na yeye kwa kutokuwajibika kwake achukuliwe hatua gani huyo Afisa ardhi
I Hope Makonda aliteleza tu katika kuongea
Kweli jamaa hakutoa lugha nzuri kilichoniudhi zaidi ni kitendo cha wananchi kushangilia kitendo kile hivi wale watu nao wazima kweli vichwani mwao?Dkt. Helen Kijo-Bisimba, mama yangu utapata presha bure na hawa watu. Siku zote kiongozi akishalewa madaraka hekima na busara hukimbia na hivyo hujikuta akiongozwa na mihemko.Huitaji kudhalilisha watu ili uonekane mtendaji. lugha ya staha inatosha kabisa kufanya watu wakuheshimu hata bila kuwalazimisha.Lakini jambo la kushangaza wakati ndugu huyo anawadhalilisha hao wafanyakazi kuna raia waanashangilia.Kila ninapoisikia kauli alizotoa huyo mtu nasikia kuudhika kiasi ambacho najiuliza,je kuwa kiongozi ni lazima utumie mabavu?MY LORD FORGIVE US!
Kosa halihalalishwi kwa Kosa lingine!tobaa!! wanataka na wao? hivi yule mtz aliopigwa mpk kufa na yule mchina haki za binadamu waliingilia kati..?