hamna chama cha wafanyakaz hapo? kama kipo nenda kareport hyo matter, wao watafanya taratibu za kwenda CMA, kama hamna jaribu nenda CMA mwenyewe watakuelekeza zaidi, pale ndo utaelekezwa kama ELRA inavyo sema kuhusiana na unfair termination...
hamna chama cha wafanyakaz hapo? kama kipo nenda kareport hyo matter, wao watafanya taratibu za kwenda CMA, kama hamna jaribu nenda CMA mwenyewe watakuelekeza zaidi, pale ndo utaelekezwa kama ELRA inavyo sema kuhusiana na unfair termination...