erasto Samwel
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 211
- 273
Viongozi wa dini mnao hamasisha Amani Mnashindwa nini kuhamasisha Haki.
Haki ikitawala mambo Mengine yote yatafuata ikiwepo hiyo amani mnayoihamasisha.
Kiongozi wa dini unaanzaje kuiona amani ukaicha haki.
Siwaoni mkiichambua haki mnakimbilia kwenye amani tu.
Kwani Amani chanzo chake ni nini.
Mtu kumnyima haki yake unaleta kutokuwa na Amani.
Haki uinua Taifa,Amani haiinui Taifa.
Haki ikitawala mambo Mengine yote yatafuata ikiwepo hiyo amani mnayoihamasisha.
Kiongozi wa dini unaanzaje kuiona amani ukaicha haki.
Siwaoni mkiichambua haki mnakimbilia kwenye amani tu.
Kwani Amani chanzo chake ni nini.
Mtu kumnyima haki yake unaleta kutokuwa na Amani.
Haki uinua Taifa,Amani haiinui Taifa.