Huyo Magufuli hakuwa na sifa hizo. Angekuwa ni mpenda maendeleo ya kweli, asinge ubariki ule uhuni wa baadhi ya wabunge na madiwani wa upinzani wa kuchezea hela za walipa kodi, kwa kuunfa mkono juhudi zake feki!
Angekuwa ni mpenda maendeleo ya kweli, angepunguza pia matumizi kwenye serikali yake na yale ya wabunge! Badala ya kuwaonea watumishi wa umma pekee! Alimsifia hadharani DED aliyenunua gari la kutembelea kwa milioni 400! Yeye mwenyewe alijiimarishia ulinzi na msululu wa magari ya kifahari kwenye misafara yake!
Wakati mwingine jaribu kutofautisha kati UZALENDO kwa nchi na UBINAFSI wa mtu. Rangi nyeusi kamwe haiwezi kulinganishwa na rangi nyeupe!