Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Jamani Haki itapatikani lini kwenye hii nchi? Adam Malima kafanya uchafu, serikali inamlinda. Mnyonge aisye na hatia anapelekwa ndani badala yake. Tukimbilie wapi kutafuta haki? Mzee babu seya, kaswekwa ndani, miaka nenda rudi anaoza jela kutkana na kesi ya kubambikiziwa. Mcheza Filamu kajala anasweka ndani wakati mafisadi papa wanapenda kwenye viyoyozi vya V8. Tanzania haki kwa masikini itakuja lini? Inawezekanaje kwa babu seya na watoto wake wote wambake mtoto mdogo? Jamani Tanzania mbona tusitende haki tumwachilie huyu mzee aendelee na maisha yake. Kweli hawa watawala wanalala kwa amani?