BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Last edited by a moderator:
Bwana acha kuyachezea mafuriko
Usingizi wa mang'amung'amu utalala weye unayehangaika kumpigia chapuo huyu fisadi ambaye ameshakuweka kwenye payroll yake. Mtu hata kuongea hajui na historia ya nchi haijui juzi karopoka eti miaka 58 tangu tupate uhuru kwi kwi kwi kawahini kuchukua form ya kugombea Urais wa Monduli msije mkakosa na kule pia.
Dalili ya Mvua ni Mawingu,Wingi ama ukubwa wa Mvua hutegemea sana Mwonekano wa Mawingu ukoje angani.
Wanaona wapambe wa makundi ya wataka Urais ndani ya CCM wakitaabika sana na kutumia muda wao mwingi,nguvu zao nyingi,Propaganda zao chafu iwe kwenye mitandao ya Kijamii,Runinga,Radioni ama Magazetini ili kujitahidi kumdhibiti EDWARD NGOYAI LOWASSA ASIYEZUILIKA KWA SAFARI YAKE YA MATUMAINI ALIYOIANZISHA PAMOJA NA WANANCHI KUELEKEA MAGOGONI.
Wako wachache sana waliobakia na Imani za kiwendawazimu kuwa Jina LOWASSA LITAKATWA MAPEMA SANA.Kama ndio ilivyo,basi huo nao utakuwa ni Uchizi na kujiondoa Akili kwa VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Gonja niulize Maswali,najua mtayajibu tu.
1.Je! Ni kweli Mnapuuza Nguvu alonayo HON.EDWARD N.LOWASSA NDANI NA NJE YA CCM???
2.Mnaona jinsi anavyokubalika na kupata WADHAMINI WENGI KULIKO WATANGAZA NIA WOOTE??
3.Mnafikiri ni vyepesi kiasi hicho kulikata jina EDWARD???
4.Nini faida na hasara ya kulikata jina la LAIGWANANI LOWASSA???
Kuna mbinu za kizamani sana mnajaribu kizitumia mkidhania mtabaki salama kwa kufanya maamuzi yao kitoto na kizembe dhidi ya EDNGOLO.
Mkiupindisha ukweli UKAWA Watangaza USHINDI WAO saa tatu asubuh mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015.
Mnahaha sana kufuta nyayo za huyu mtu na hakuna hata unyayo ambayo umefutika,Kila mnalopanga linaharibika mara baada ya kuinuka tu kwenye viti mlokalia.Mitego yote haijamnasa anawatangulia maili 12 mbele,KAMWE HAMTAMWEZA EDO NI MTU WA WATU,Mkijitahidi sana kwa shingo ngumu kuonyesha ninyi ndio wenye kisu cha kukatia virigisi,HII CHAMA ITAMFIA JK MIKONONI MWAKE.BUSARA NI HII.
NAWASHAURI BURE:-
Hili game liacheni liwe fair dk 90 hadi 120 pakiwa bado hali ni tete matokeo hayasomi nendeni naye hata kwenye PENALTY ILI AWE MSHINDI.
-Msisahau WATANZANIA HAWAHITAJI RAIS MLINDA MASLAHI YA MTU AWAYE YOTE.
-Wakimkosa Rais wamtakaye ndani ya CCM Watampata UKAWA.
Mnaona wenyewe alivyopokelewa na kudhaminiwa na watu sio haba ,SAUTI ZA WATU NI SAUTI YA MUNGU.
Msiingize Udini,Ukanda wala Ukabila maana kote huko huyu jamaa ANAKUBALIKA.
MAFURIKO HAYAZUILIWI KWA MKONO,NA KWA STYLE HII HAKATWI MTU HAPAA LOWASSA MPAKA MAGOGONI.
majuzikati nlikua mkoa fulani nikaona yutong ya huyu mshikaji na wabinua matak.0 kama kawa. Nikajiwazia hakika mwaka huu kwa jinsi wadanganyika walivyo wanafiki na wasio na mikakati ya muda mrefu, uwezekano wa ibilisi kuketi patakatifu ni mkubwa. Hapo chacha akina mwanakijiji & co itabidi mtafute pa kujificha.
Shetani ana aminika na watu wengi sana kuliko Lowasa lakini bado shetani huyo huyo hawezi Kuingia Mbunguni na hatakiwi kabisa.Dalili ya Mvua ni Mawingu,Wingi ama ukubwa wa Mvua hutegemea sana Mwonekano wa Mawingu ukoje angani.
Wanaona wapambe wa makundi ya wataka Urais ndani ya CCM wakitaabika sana na kutumia muda wao mwingi,nguvu zao nyingi,Propaganda zao chafu iwe kwenye mitandao ya Kijamii,Runinga,Radioni ama Magazetini ili kujitahidi kumdhibiti EDWARD NGOYAI LOWASSA ASIYEZUILIKA KWA SAFARI YAKE YA MATUMAINI ALIYOIANZISHA PAMOJA NA WANANCHI KUELEKEA MAGOGONI.
Wako wachache sana waliobakia na Imani za kiwendawazimu kuwa Jina LOWASSA LITAKATWA MAPEMA SANA.Kama ndio ilivyo,basi huo nao utakuwa ni Uchizi na kujiondoa Akili kwa VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Gonja niulize Maswali,najua mtayajibu tu.
1.Je! Ni kweli Mnapuuza Nguvu alonayo HON.EDWARD N.LOWASSA NDANI NA NJE YA CCM???
2.Mnaona jinsi anavyokubalika na kupata WADHAMINI WENGI KULIKO WATANGAZA NIA WOOTE??
3.Mnafikiri ni vyepesi kiasi hicho kulikata jina EDWARD???
4.Nini faida na hasara ya kulikata jina la LAIGWANANI LOWASSA???
Kuna mbinu za kizamani sana mnajaribu kizitumia mkidhania mtabaki salama kwa kufanya maamuzi yao kitoto na kizembe dhidi ya EDNGOLO.
Mkiupindisha ukweli UKAWA Watangaza USHINDI WAO saa tatu asubuh mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015.
Mnahaha sana kufuta nyayo za huyu mtu na hakuna hata unyayo ambayo umefutika,Kila mnalopanga linaharibika mara baada ya kuinuka tu kwenye viti mlokalia.Mitego yote haijamnasa anawatangulia maili 12 mbele,KAMWE HAMTAMWEZA EDO NI MTU WA WATU,Mkijitahidi sana kwa shingo ngumu kuonyesha ninyi ndio wenye kisu cha kukatia virigisi,HII CHAMA ITAMFIA JK MIKONONI MWAKE.BUSARA NI HII.
NAWASHAURI BURE:-
Hili game liacheni liwe fair dk 90 hadi 120 pakiwa bado hali ni tete matokeo hayasomi nendeni naye hata kwenye PENALTY ILI AWE MSHINDI.
-Msisahau WATANZANIA HAWAHITAJI RAIS MLINDA MASLAHI YA MTU AWAYE YOTE.
-Wakimkosa Rais wamtakaye ndani ya CCM Watampata UKAWA.
Mnaona wenyewe alivyopokelewa na kudhaminiwa na watu sio haba ,SAUTI ZA WATU NI SAUTI YA MUNGU.
Msiingize Udini,Ukanda wala Ukabila maana kote huko huyu jamaa ANAKUBALIKA.
MAFURIKO HAYAZUILIWI KWA MKONO,NA KWA STYLE HII HAKATWI MTU HAPAA LOWASSA MPAKA MAGOGONI.
Dalili ya Mvua ni Mawingu,Wingi ama ukubwa wa Mvua hutegemea sana Mwonekano wa Mawingu ukoje angani.
Wanaona wapambe wa makundi ya wataka Urais ndani ya CCM wakitaabika sana na kutumia muda wao mwingi,nguvu zao nyingi,Propaganda zao chafu iwe kwenye mitandao ya Kijamii,Runinga,Radioni ama Magazetini ili kujitahidi kumdhibiti EDWARD NGOYAI LOWASSA ASIYEZUILIKA KWA SAFARI YAKE YA MATUMAINI ALIYOIANZISHA PAMOJA NA WANANCHI KUELEKEA MAGOGONI.
Wako wachache sana waliobakia na Imani za kiwendawazimu kuwa Jina LOWASSA LITAKATWA MAPEMA SANA.Kama ndio ilivyo,basi huo nao utakuwa ni Uchizi na kujiondoa Akili kwa VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Gonja niulize Maswali,najua mtayajibu tu.
1.Je! Ni kweli Mnapuuza Nguvu alonayo HON.EDWARD N.LOWASSA NDANI NA NJE YA CCM???
2.Mnaona jinsi anavyokubalika na kupata WADHAMINI WENGI KULIKO WATANGAZA NIA WOOTE??
3.Mnafikiri ni vyepesi kiasi hicho kulikata jina EDWARD???
4.Nini faida na hasara ya kulikata jina la LAIGWANANI LOWASSA???
Kuna mbinu za kizamani sana mnajaribu kizitumia mkidhania mtabaki salama kwa kufanya maamuzi yao kitoto na kizembe dhidi ya EDNGOLO.
Mkiupindisha ukweli UKAWA Watangaza USHINDI WAO saa tatu asubuh mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015.
Mnahaha sana kufuta nyayo za huyu mtu na hakuna hata unyayo ambayo umefutika,Kila mnalopanga linaharibika mara baada ya kuinuka tu kwenye viti mlokalia.Mitego yote haijamnasa anawatangulia maili 12 mbele,KAMWE HAMTAMWEZA EDO NI MTU WA WATU,Mkijitahidi sana kwa shingo ngumu kuonyesha ninyi ndio wenye kisu cha kukatia virigisi,HII CHAMA ITAMFIA JK MIKONONI MWAKE.BUSARA NI HII.
NAWASHAURI BURE:-
Hili game liacheni liwe fair dk 90 hadi 120 pakiwa bado hali ni tete matokeo hayasomi nendeni naye hata kwenye PENALTY ILI AWE MSHINDI.
-Msisahau WATANZANIA HAWAHITAJI RAIS MLINDA MASLAHI YA MTU AWAYE YOTE.
-Wakimkosa Rais wamtakaye ndani ya CCM Watampata UKAWA.
Mnaona wenyewe alivyopokelewa na kudhaminiwa na watu sio haba ,SAUTI ZA WATU NI SAUTI YA MUNGU.
Msiingize Udini,Ukanda wala Ukabila maana kote huko huyu jamaa ANAKUBALIKA.
MAFURIKO HAYAZUILIWI KWA MKONO,NA KWA STYLE HII HAKATWI MTU HAPAA LOWASSA MPAKA MAGOGONI.
SIJAWAHI ONA JAMBO LA AINA HII KABISA YAANI WAGOMBEA WOTE WA URAIS KUMSHAMBULIA MGOMBEA MMOJA TU TENA KWA NGUVU NGUVU ZOTE BILA AIBU,YAANI NINYI NYOTE 30 NA USHEE KUANGUASHA GADHABU ZENU KWA KIUMBE MMOJA TU/hakika haijapata tokea