Hakatwi mtu hapaaa! Lowassa anaaminika kwa wengi

Hv huku vichwani tuna ubongo au tuna uji mzito tena yawezekana wa dona!PESA ZOTE ANAZOZITUMIA HATA KM NI WEWE ATAZIRUDISHA VIPI?TUSIWE NA NJAA YA KUFIKIRI HATA KWA JAMBO DOGO KM ILI.
HATA KAMA TUNAPEWA BUKU 5 ZA KUNUNUA 8mb STILL TUSIWE WATUMWA WA KUFIKILI JAPO KWA UPEO MDOGO TU AMBAO MWENYEZI MUNGU AMETUPATIA BURE.
HATA KM NI UHURU WENU WA NANI MTUMIKIE LAKINI MNAKERA SASA
 
Usingizi wa mang'amung'amu utalala weye unayehangaika kumpigia chapuo huyu fisadi ambaye ameshakuweka kwenye payroll yake. Mtu hata kuongea hajui na historia ya nchi haijui juzi karopoka eti miaka 58 tangu tupate uhuru kwi kwi kwi kawahini kuchukua form ya kugombea Urais wa Monduli msije mkakosa na kule pia.

Alishavuka hio level hta nanyi mnalijua hilo ndio maana upande wa kambi zenu wooote MATUMBO NI MOTO.

Ukweli ndio huo LOWASSA KAWAZIDI KILA CORNER Mmebakia na ubwatukaji tu.
 
Majuzikati nlikua mkoa fulani nikaona Yutong ya huyu mshikaji na wabinua matak.0 kama kawa. Nikajiwazia hakika mwaka huu kwa jinsi wadanganyika walivyo wanafiki na wasio na mikakati ya muda mrefu, uwezekano wa Ibilisi kuketi patakatifu ni mkubwa. Hapo chacha akina Mwanakijiji & co itabidi mtafute pa kujificha.
 
Dalili ya Mvua ni Mawingu,Wingi ama ukubwa wa Mvua hutegemea sana Mwonekano wa Mawingu ukoje angani.

Wanaona wapambe wa makundi ya wataka Urais ndani ya CCM wakitaabika sana na kutumia muda wao mwingi,nguvu zao nyingi,Propaganda zao chafu iwe kwenye mitandao ya Kijamii,Runinga,Radioni ama Magazetini ili kujitahidi kumdhibiti EDWARD NGOYAI LOWASSA ASIYEZUILIKA KWA SAFARI YAKE YA MATUMAINI ALIYOIANZISHA PAMOJA NA WANANCHI KUELEKEA MAGOGONI.

Wako wachache sana waliobakia na Imani za kiwendawazimu kuwa Jina LOWASSA LITAKATWA MAPEMA SANA.Kama ndio ilivyo,basi huo nao utakuwa ni Uchizi na kujiondoa Akili kwa VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Gonja niulize Maswali,najua mtayajibu tu.

1.Je! Ni kweli Mnapuuza Nguvu alonayo HON.EDWARD N.LOWASSA NDANI NA NJE YA CCM???

2.Mnaona jinsi anavyokubalika na kupata WADHAMINI WENGI KULIKO WATANGAZA NIA WOOTE??

3.Mnafikiri ni vyepesi kiasi hicho kulikata jina EDWARD???

4.Nini faida na hasara ya kulikata jina la LAIGWANANI LOWASSA???

Kuna mbinu za kizamani sana mnajaribu kizitumia mkidhania mtabaki salama kwa kufanya maamuzi yao kitoto na kizembe dhidi ya EDNGOLO.
Mkiupindisha ukweli UKAWA Watangaza USHINDI WAO saa tatu asubuh mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015.

Mnahaha sana kufuta nyayo za huyu mtu na hakuna hata unyayo ambayo umefutika,Kila mnalopanga linaharibika mara baada ya kuinuka tu kwenye viti mlokalia.Mitego yote haijamnasa anawatangulia maili 12 mbele,KAMWE HAMTAMWEZA EDO NI MTU WA WATU,Mkijitahidi sana kwa shingo ngumu kuonyesha ninyi ndio wenye kisu cha kukatia virigisi,HII CHAMA ITAMFIA JK MIKONONI MWAKE.BUSARA NI HII.

NAWASHAURI BURE:-
Hili game liacheni liwe fair dk 90 hadi 120 pakiwa bado hali ni tete matokeo hayasomi nendeni naye hata kwenye PENALTY ILI AWE MSHINDI.

-Msisahau WATANZANIA HAWAHITAJI RAIS MLINDA MASLAHI YA MTU AWAYE YOTE.
-Wakimkosa Rais wamtakaye ndani ya CCM Watampata UKAWA.

Mnaona wenyewe alivyopokelewa na kudhaminiwa na watu sio haba ,SAUTI ZA WATU NI SAUTI YA MUNGU.

Msiingize Udini,Ukanda wala Ukabila maana kote huko huyu jamaa ANAKUBALIKA.

MAFURIKO HAYAZUILIWI KWA MKONO,NA KWA STYLE HII HAKATWI MTU HAPAA LOWASSA MPAKA MAGOGONI.

hauna akili kamwambie awalipe bodaboda wa moshi aliowakodisha na kuwanyima hela zao uje kutwambia anakubalia,pia kamkubushe miilion 300 alizopeleka arumeru kwenye jimbo la NASARI WAKATI WA UCHAGUZI WA UBUNGE kumsaidia ndugu yake na nasari akashinda wakachukua laki laki alizokuwa anatoa na kumchangia NASARI, AMELOGWA LOWASA SIO BURE.

 
majuzikati nlikua mkoa fulani nikaona yutong ya huyu mshikaji na wabinua matak.0 kama kawa. Nikajiwazia hakika mwaka huu kwa jinsi wadanganyika walivyo wanafiki na wasio na mikakati ya muda mrefu, uwezekano wa ibilisi kuketi patakatifu ni mkubwa. Hapo chacha akina mwanakijiji & co itabidi mtafute pa kujificha.

wala patakatifu shetani hawezi kukaa na hatakaa kamwe,anashindana na wenye dora,
 
..pamoja na tuhuma za ufisadi dhidi ya Lowasa, siye tunaounga mkono upinzani tutamshukuru huyu jamaa daima kwa mchango wake mkubwa sana katika juhudi za kumuondoa "mkoloni mweusi" pale Magogoni.

pigana baba Lowasa hakuna kulala..... pigana baba wasafishie njia UKAWA.
 
Dalili ya Mvua ni Mawingu,Wingi ama ukubwa wa Mvua hutegemea sana Mwonekano wa Mawingu ukoje angani.

Wanaona wapambe wa makundi ya wataka Urais ndani ya CCM wakitaabika sana na kutumia muda wao mwingi,nguvu zao nyingi,Propaganda zao chafu iwe kwenye mitandao ya Kijamii,Runinga,Radioni ama Magazetini ili kujitahidi kumdhibiti EDWARD NGOYAI LOWASSA ASIYEZUILIKA KWA SAFARI YAKE YA MATUMAINI ALIYOIANZISHA PAMOJA NA WANANCHI KUELEKEA MAGOGONI.

Wako wachache sana waliobakia na Imani za kiwendawazimu kuwa Jina LOWASSA LITAKATWA MAPEMA SANA.Kama ndio ilivyo,basi huo nao utakuwa ni Uchizi na kujiondoa Akili kwa VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Gonja niulize Maswali,najua mtayajibu tu.

1.Je! Ni kweli Mnapuuza Nguvu alonayo HON.EDWARD N.LOWASSA NDANI NA NJE YA CCM???

2.Mnaona jinsi anavyokubalika na kupata WADHAMINI WENGI KULIKO WATANGAZA NIA WOOTE??

3.Mnafikiri ni vyepesi kiasi hicho kulikata jina EDWARD???

4.Nini faida na hasara ya kulikata jina la LAIGWANANI LOWASSA???

Kuna mbinu za kizamani sana mnajaribu kizitumia mkidhania mtabaki salama kwa kufanya maamuzi yao kitoto na kizembe dhidi ya EDNGOLO.
Mkiupindisha ukweli UKAWA Watangaza USHINDI WAO saa tatu asubuh mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015.

Mnahaha sana kufuta nyayo za huyu mtu na hakuna hata unyayo ambayo umefutika,Kila mnalopanga linaharibika mara baada ya kuinuka tu kwenye viti mlokalia.Mitego yote haijamnasa anawatangulia maili 12 mbele,KAMWE HAMTAMWEZA EDO NI MTU WA WATU,Mkijitahidi sana kwa shingo ngumu kuonyesha ninyi ndio wenye kisu cha kukatia virigisi,HII CHAMA ITAMFIA JK MIKONONI MWAKE.BUSARA NI HII.

NAWASHAURI BURE:-
Hili game liacheni liwe fair dk 90 hadi 120 pakiwa bado hali ni tete matokeo hayasomi nendeni naye hata kwenye PENALTY ILI AWE MSHINDI.

-Msisahau WATANZANIA HAWAHITAJI RAIS MLINDA MASLAHI YA MTU AWAYE YOTE.
-Wakimkosa Rais wamtakaye ndani ya CCM Watampata UKAWA.

Mnaona wenyewe alivyopokelewa na kudhaminiwa na watu sio haba ,SAUTI ZA WATU NI SAUTI YA MUNGU.

Msiingize Udini,Ukanda wala Ukabila maana kote huko huyu jamaa ANAKUBALIKA.

MAFURIKO HAYAZUILIWI KWA MKONO,NA KWA STYLE HII HAKATWI MTU HAPAA LOWASSA MPAKA MAGOGONI.
Shetani ana aminika na watu wengi sana kuliko Lowasa lakini bado shetani huyo huyo hawezi Kuingia Mbunguni na hatakiwi kabisa.
Kazi ya shetani ipo Mikononi mwa Lowasa kuhakikisha kuwa anakusanya wengi kwenda nao motoni
 
Lowassa anaaminika kwa hao madereva wa bodaboda anaowapa Shs 10,000 na lita tatu za mafuta kila mahali ili wakampokee?

Kwa hao wanachama wa ccm wanaopewa posho au nauli ili wamdhamini ?

Kwa yale makundi ya watu waliolipwa ili wamwombe agombee?

Kama ndivyo, basi ngamia atapita kwenye tundu la sindano kuliko Lowassa kupata urais wa Tanzania.
 
Dalili ya Mvua ni Mawingu,Wingi ama ukubwa wa Mvua hutegemea sana Mwonekano wa Mawingu ukoje angani.

Wanaona wapambe wa makundi ya wataka Urais ndani ya CCM wakitaabika sana na kutumia muda wao mwingi,nguvu zao nyingi,Propaganda zao chafu iwe kwenye mitandao ya Kijamii,Runinga,Radioni ama Magazetini ili kujitahidi kumdhibiti EDWARD NGOYAI LOWASSA ASIYEZUILIKA KWA SAFARI YAKE YA MATUMAINI ALIYOIANZISHA PAMOJA NA WANANCHI KUELEKEA MAGOGONI.

Wako wachache sana waliobakia na Imani za kiwendawazimu kuwa Jina LOWASSA LITAKATWA MAPEMA SANA.Kama ndio ilivyo,basi huo nao utakuwa ni Uchizi na kujiondoa Akili kwa VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Gonja niulize Maswali,najua mtayajibu tu.

1.Je! Ni kweli Mnapuuza Nguvu alonayo HON.EDWARD N.LOWASSA NDANI NA NJE YA CCM???

2.Mnaona jinsi anavyokubalika na kupata WADHAMINI WENGI KULIKO WATANGAZA NIA WOOTE??

3.Mnafikiri ni vyepesi kiasi hicho kulikata jina EDWARD???

4.Nini faida na hasara ya kulikata jina la LAIGWANANI LOWASSA???

Kuna mbinu za kizamani sana mnajaribu kizitumia mkidhania mtabaki salama kwa kufanya maamuzi yao kitoto na kizembe dhidi ya EDNGOLO.
Mkiupindisha ukweli UKAWA Watangaza USHINDI WAO saa tatu asubuh mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015.

Mnahaha sana kufuta nyayo za huyu mtu na hakuna hata unyayo ambayo umefutika,Kila mnalopanga linaharibika mara baada ya kuinuka tu kwenye viti mlokalia.Mitego yote haijamnasa anawatangulia maili 12 mbele,KAMWE HAMTAMWEZA EDO NI MTU WA WATU,Mkijitahidi sana kwa shingo ngumu kuonyesha ninyi ndio wenye kisu cha kukatia virigisi,HII CHAMA ITAMFIA JK MIKONONI MWAKE.BUSARA NI HII.

NAWASHAURI BURE:-
Hili game liacheni liwe fair dk 90 hadi 120 pakiwa bado hali ni tete matokeo hayasomi nendeni naye hata kwenye PENALTY ILI AWE MSHINDI.

-Msisahau WATANZANIA HAWAHITAJI RAIS MLINDA MASLAHI YA MTU AWAYE YOTE.
-Wakimkosa Rais wamtakaye ndani ya CCM Watampata UKAWA.

Mnaona wenyewe alivyopokelewa na kudhaminiwa na watu sio haba ,SAUTI ZA WATU NI SAUTI YA MUNGU.

Msiingize Udini,Ukanda wala Ukabila maana kote huko huyu jamaa ANAKUBALIKA.

MAFURIKO HAYAZUILIWI KWA MKONO,NA KWA STYLE HII HAKATWI MTU HAPAA LOWASSA MPAKA MAGOGONI.

Mkuu umepagusa penyewe kabisa naona jamaa hawana msimamo kabisa yani ni bendera fata upepo maana mara makongoro,membe,mwigulu,makamba,sitta,agustino ramadhani na sasa mwakyembe yani wanatapatapa tu huku the super leader kasimama palepale na hata humu jamvini nikifungua tu nakutana na mgombea mpya baada ya siku moja wana mlinganisha na el na ghafla kapotea,ila wakae wajue hii ni safari ya MATUMAINI ambayo huezi izuia na MKONO na kama wanamchukia waambieni wakaunganishe nguvu zao kati ya EL na hao wagombea36 walobaki na mwaka huu waendelee kulamba limao mpaka 2025 na kama vipi vyama vipo vingi ama nape na sitta si wana kale kaCCJ chao wakaibue basi.EL NDO RAIS WETU KAMA HUTAKI LIMAO LINAUZWA 100 AMA OTESHENI MALIMAO ILI MSISUMBUKE MPAKA 2025
 
SIJAWAHI ONA JAMBO LA AINA HII KABISA YAANI WAGOMBEA WOTE WA URAIS KUMSHAMBULIA MGOMBEA MMOJA TU TENA KWA NGUVU NGUVU ZOTE BILA AIBU,YAANI NINYI NYOTE 30 NA USHEE KUANGUASHA GADHABU ZENU KWA KIUMBE MMOJA TU/hakika haijapata tokea

Ni kwa sababu ameupania sana uraisi tokea akitoa hela mosques and kanisani.pia social networks zimeanza kazi kumfagilia mda mrefu sana
 
ccm wana hali mbaya sana dhidi ya lowasa.ameteka wajumbe karibu wote wa mkutano mkuu na NEC. hawapumui wala hawakohoi...
 
kinachonishangaza lowasa anapata wazamini maelfu wakati wanaotakiwa kila mkoa ni 45 tu,mimi naona CCM itabidi iweke sheria kuwa mtu asizidishe wadhamini 45,maana hawa wanaodhaminiwa na maelfu wengi wanatowa hela,eti wadhamini elfu 34,wakati wanaotakiwa ni 45 tu.Jamani hii ni kucreate matabaka mtu anaonekana anapedwa kumbe alishaweka mizizi ya pesa long time
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom